Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Mleta mada una stress za maisha.Toka nifike Dar-es-salaam kutika Arusha ,kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni Tabia ya Wanaume Wa Dar-es-salaam kukaa Chini Na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya Hivi ,Mara Jokate kafanya Lile ... yaani inakera inakera ..na unayakuta kabisa na Midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na Mapovu Mdomoni ..Shame on you .. stop that .
Wakati wanamdiskasi sijui nani huyo, wewe ulikuwa wapi??Toka nifike Dar-es-salaam kutika Arusha ,kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni Tabia ya Wanaume Wa Dar-es-salaam kukaa Chini Na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya Hivi ,Mara Jokate kafanya Lile ... yaani inakera inakera ..na unayakuta kabisa na Midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na Mapovu Mdomoni ..Shame on you .. stop that .
Wewe ni mwanaume wa wapi? Mwanaume anayejua matatizo ya wanaume wenzie huwa anatia mashaka.Wanaume wa Dar na Wanaume wa Rombo wana matatizo sana!
Hua nanyamyuka Naondoka ...Wakati wanamdiskasi sijui nani huyo, wewe ulikuwa wapi??
Ndege wa aina moja huruka pamoja.
Ukitoka Dar utuletee zawadi ya samaki wa feri
Basi na wewe usiwe na tabia ya kusikiliza umbea.Hua nanyamyuka Naondoka ...
Hahaha wanatia Karaha Mkuu .. Yaani ni aibu .wanaume wa dar wote ni mabebez mkuu au ulikua hujui, ndio maana unasikia uzee mwisho chalinze dar wote ni bebez.
wanaume wanashinda muda wote baba shop wqkitengeneza nywele na kusuguliwa kucha na wamasai unategemea wazungumze nini.
kuna mwingine jana aliniudhi,katoka likizo juzi anafika jana ofisini ananiuliza hivi kweli wema sepetu hana mimba, nilitamani kumtwanga kichwa.
discuss Ujinga kama huo ... Yaani kunikuta Nadiscuss Mimba ya Wema ... Dooooh . ...Sijawahi ona hii kitu ...nadhani nashangaa kutokana ma Historia ya Mkoa wangu . Arusha hakuna hii kitu aisee .Wewe ni msaliti... ukiwa na wenzako hao una jadili nao... humu jamiiforms unajifanya unachukizwa...
Kisu kimegonga kwenye mfupa.