Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Toka nifike Dar es salaam kutoka Arusha, kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni tabia ya baadhi ya wanaume wa Dar kukaa chini na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya hivi, mara Jokate kafanya lile ... Yaani inakera inakera ..

Na unayakuta kabisa na midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na mapovu mdomoni.. Shame On you .. stop that .
 
Mleta mada una stress za maisha.
 
Wakati wanamdiskasi sijui nani huyo, wewe ulikuwa wapi??

Ndege wa aina moja huruka pamoja.

Ukitoka Dar utuletee zawadi ya samaki wa feri
 
wanaume wa dar wote ni mabebez mkuu au ulikua hujui, ndio maana unasikia uzee mwisho chalinze dar wote ni bebez.

wanaume wanashinda muda wote baba shop wqkitengeneza nywele na kusuguliwa kucha na wamasai unategemea wazungumze nini.

kuna mwingine jana aliniudhi,katoka likizo juzi anafika jana ofisini ananiuliza hivi kweli wema sepetu hana mimba, nilitamani kumtwanga kichwa.
 
Wakati wanamdiskasi sijui nani huyo, wewe ulikuwa wapi??

Ndege wa aina moja huruka pamoja.

Ukitoka Dar utuletee zawadi ya samaki wa feri
Hua nanyamyuka Naondoka ...
 
Hahaha wanatia Karaha Mkuu .. Yaani ni aibu .
 
Na muache Tabia ya kujitoga toga Masikio kuoaka Picvo na kujichubua ...wacheeniii ..hata mkikasirika .
 
Wewe ni msaliti... ukiwa na wenzako hao una jadili nao... humu jamiiforms unajifanya unachukizwa...
discuss Ujinga kama huo ... Yaani kunikuta Nadiscuss Mimba ya Wema ... Dooooh . ...Sijawahi ona hii kitu ...nadhani nashangaa kutokana ma Historia ya Mkoa wangu . Arusha hakuna hii kitu aisee .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…