Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Khaaa utang'olewa kucha kisa kupenda helaNipe hela sitakubania, inakuwa siri yetu.
Aaah benny wewe ni wa Rorya? Huyo mtoto awe na ubabe wa kinyaki + ubabe wa kikurya, mbona ntazaa balaa jamani khaaHahaha poa msalimie japo nawamind sana kunibania mtoto wenu[emoji1]
Toka nifike Dar es salaam kutoka Arusha, kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni tabia ya baadhi ya wanaume wa Dar kukaa chini na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya hivi, mara Jokate kafanya lile ... Yaani inakera inakera ..
Na unayakuta kabisa na midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na mapovu mdomoni.. Shame On you .. stop that .
Mkuu umepiga mstari wa moto......yaani unakuta vijana wanabishania mshahara wa Ronaldo na Messi mpaka wanataka kupigana....Hahahahaha,mleta mada kapiga za mbavu.
-Ndio jiji lenye vijana wnaoongoza kununua magazeti ya udaku
-Ndio jiji lenye wavimba macho weeengi wakiamka asubuhi kwa kukesha wanachati kama popooo
Mikoa yote walielewa agizo la pool table,ila wao tu ndio wabishi.
Madada wajasiriamali kibao wanatusua vwanaume wao Siasa tu,na utasikia ali kiba na Diamond nani tajiri ebbbbbbo
Weh Chalii...Toka nifike Dar es salaam kutoka Arusha, kitu kilichonishangaza na kuona kiinyaa ni tabia ya baadhi ya wanaume wa Dar kukaa chini na kuanza kudiscus mara sijui Wema kafanya hivi, mara Jokate kafanya lile ... Yaani inakera inakera ..
Na unayakuta kabisa na midevu yao na inabishana mpaka yanatokwa na mapovu mdomoni.. Shame On you .. stop that .
Shangaa sasa na ww Bwana HakimuUmejuaje kama na wewe si mshiriki ??
kati ya diamond na ali kiba nani tajiri?Weh Chalii...
Punguza MATUMIZI ya bangi,mirungi na MKOJO wa punda...
baada ya hapo itakuwa RAHISI sana kuwaelewa WANAUME wa Dar..!
Nawe mfukunyukuuuuu!!Khaaa utang'olewa kucha kisa kupenda hela
Aaah benny wewe ni wa Rorya? Huyo mtoto awe na ubabe wa kinyaki + ubabe wa kikurya, mbona ntazaa balaa jamani khaa
Ali Kiba ndo nini..!?kati ya diamond na ali kiba nani tajiri?
Naskia harufu ya mwanaume ea dar hapa... !!Weh Chalii...
Punguza MATUMIZI ya bangi,mirungi na MKOJO wa punda...
baada ya hapo itakuwa RAHISI sana kuwaelewa WANAUME wa Dar..!
Hahahah wewe niuze tu, utaolewa mwenyeweNawe mfukunyukuuuuu!!
Khaaa utang'olewa kucha kisa kupenda hela
Aaah benny wewe ni wa Rorya? Huyo mtoto awe na ubabe wa kinyaki + ubabe wa kikurya, mbona ntazaa balaa jamani khaa