Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu

Sasa unaingia Tarime Heaven...

Rorya + Ufilipino unajua vile nitakulinda na kukupenda kipi cha zaidi tena..?

Na mama mkwe soon atatoa baraka zote!
Teh kwa kweli ufilipino naupenda mno. Ila hiyo duet ya mnyaki na mkurya, kama ni kabinti katakuwa hakapewi hata HI barabarani teh
 
Watu wengine bhana, unakuta mtu katoka huko alikotoka... hata mtaa wa pili lazima apelekwe kwa kuogooa atapotea lakini tayari anataka kujifanya analifahamu jiji na wakazi wake!!!
 
Are you SHE or HE??
 
discuss Ujinga kama huo ... Yaani kunikuta Nadiscuss Mimba ya Wema ... Dooooh . ...Sijawahi ona hii kitu ...nadhani nashangaa kutokana ma Historia ya Mkoa wangu . Arusha hakuna hii kitu aisee .
it only takes a witch to know another witch
 
Teh kwa kweli ufilipino naupenda mno. Ila hiyo duet ya mnyaki na mkurya, kama ni kabinti katakuwa hakapewi hata HI barabarani teh

Haha....katajifunza kua "cool" kutoka kwetu kikubwa ni mama yake tu unipe funguo....
 
Na muache Tabia ya kujitoga toga Masikio kuoaka Picvo na kujichubua ...wacheeniii ..hata mkikasirika .
Hilo la kutoga masikio linakera sana

Mwanaume utajifananishaje na wa kike!
 
Tatizo lao kubwa hawaendi jando wengi wao wametairiwa na mama zao na wanajua wamezaliwa hivyo so ni lazma na mambo yao yawe kikike kike tu
 
wengi wao ni marioo, wana tabia za watu wa lubumbashi
 
Wanaume Wa Dar Leo watajulikana kwa majibuu yaoooo
 
Sasa na wewe mbona una discuss wanaume wa Dar?
 
discuss Ujinga kama huo ... Yaani kunikuta Nadiscuss Mimba ya Wema ... Dooooh . ...Sijawahi ona hii kitu ...nadhani nashangaa kutokana ma Historia ya Mkoa wangu . Arusha hakuna hii kitu aisee .

I agree, Arusha watu wapo serious!!!!! Very different.
 
mwanaume rijali,mlume lundago mtafutaji,mpiganaji wa maisha ya leo na kesho ili kupata ugali wa familia yako huwezi kulete uzi wakipuuzi kama huuu....Napata mashaka km wewe sio wale akina na naniiiii...
 
Hahaa haa umenikumbusha kipindi kile cha le panya road!! We pata picha mtu kama le mutuz na ule mtumbo akimbizwe na panya road!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…