Yaan sasa hivi namba za simu ni fursa...mtoto wa ukoo wa mbali utashangaa kakuunga kwenye group kume mwezi ujao anaoa[emoji848]Setting ikoje hiyo nami nifanye? Yani juzi kuna mtu nimempa namba kesho yake tayariii nipo group sijui jumuiya ya mtakatifu gani tayari anaomba michango nikabaki...,[emoji15]
Tunatakiwa tuanze kukataa kwa kutochanga. Yaani hata ukumbuni huwa sioni cha maana zaidi ya makelele ya maspika na mbwembwe za ma MC,yaani kwa kweli huwa sioni cha maana kinachofanyikaNdo utaratibu jamii yetu ushauweka tutafanyaje sasa japo ni mambo ya ajabu kweli!!
Hii ni legacy ya Nyerere na sera zake za ujamaa
If we could go back in time ningetamani Kambona afanikiwe kupindua serikali ya Nyerere na kuintroduce capitalism from the 60s. Hii mentality ya kuombaonba hovyo kila ukiwa na shida isingekwepo.
Kila mtu aishi kwa uwezo wake, kila mbuzi ashibe kwa urefu wa kamba yake.
Kimasihala masihala milioni 30 zimetumika.Tunatakiwa tuanze kukataa kwa kutochanga. Yaani hata ukumbuni huwa sioni cha maana zaidi ya makelele ya maspika na mbwembwe za ma MC,yaani kwa kweli huwa sioni cha maana kinachofanyika
Umezaliwa lini? Mbona wakati wa nyerere hakukuwa na michango mingi? Kwanza kipindi hicho vitu kama harusi vilikuwa simple sana na hakukuwa na vikao vingi. Mambo ya michango yameanza kushika kasi tangu watu wajue kitu kinachoitwa ''whatsup''. Whatsup imerahisisha kuweka watu kwenye ma-group na kuombana michango kwa vitu hata vya kijinga. Njia moja kubwa ni kujitoa kwenye hayo ma-group na kubakiwa na yale unayoona yana umuhimu.Hii ni legacy ya Nyerere na sera zake za ujamaa
If we could go back in time ningetamani Kambona afanikiwe kupindua serikali ya Nyerere na kuintroduce capitalism from the 60s. Hii mentality ya kuombaonba hovyo kila ukiwa na shida isingekwepo.
Kila mtu aishi kwa uwezo wake, kila mbuzi ashibe kwa urefu wa kamba yake.
Hii ndiyo dawa. Na siku hizi wanawake wa uswazi wanajifanya kuwa wazungu kuliko hata wazungu wenyewe. Wengi hawajaenda shule hivyo wanakuwa rahisi sana kuingia kwenye mkumbo. Kitu kama birthday uswahilini imekuwa kama ni lazima. Kuna mama mmoja darasa la saba ukimsikia anavyozitamka sasa. Utasikia ''nilikuwa kwenye basi-dei ya jirani yangu''. Wamejua mpaka baby shower wewe unafikiria mchezo. Kweli ukitaka kujua gharama za ujinga nenda uswahilini huko uone kina mama wanavyoshindana na sherehe.Kama una mgonjwa anayehitaji fedha nyingi kwa ajili ya matibabu ntachangia,kama umekwama ada ntakuchangia,kama umepata msiba wa karibu ntakueezesha kidogo,ila kama ni harusi,kipaimara,graduation,birthday party,au sherehe nyingine yoyote ya anasa sitakuchangia!! Sitoi hata mia!
Ni utopolo mtupu na kupotezeana muda na pesa.Tunatakiwa tuanze kukataa kwa kutochanga. Yaani hata ukumbuni huwa sioni cha maana zaidi ya makelele ya maspika na mbwembwe za ma MC,yaani kwa kweli huwa sioni cha maana kinachofanyika
Utapigiwa simu au kuandikiwa barua ya mchango (wa hari na mali).Ukichoka unauza smartphone unabaki na kibatani utaenjoy saaana maisha.
Nimeachana na ujinga wa kujipa umaskini, nachangia kwenye mambo ya msingi kama majangaHabari wadau,
Leo nimepata muda kujiuliza hivi hii tabia ya Watanzania (walio wengi) au jamii yetu kupenda sana tabia ya kuanzisha michango na kuchangia tumeipata wapi? Au ni ile toka enzi za siasa za ujamaa na kujitegemea?
Sipingi kuchangia mambo muhimu, ni jambo jema sana kuchangia mambo muhimu ya maendeleo.
Lakini hivi sasa tabia hii imezidi kwa kweli. Najua kuchangia si lazima ni hiari Lakini imekuwa too much!
Kila group la whatsup likianzishwa, wiki ya kwanza ya pili mchango. Wanasiasa kitu kidogo, wananchi tunaomba mchangie kidogo. Tabia hii mpka serikali kupitia viongozi wake, wanahamasisha michango, huku wakizitafuna kodi bila kujali.
Leo mtu anafungua kesi mahakamani ambayo haina gharama zozote zaidi anahamasisha umma umchangie.
Nina magroup ya whatsup takribani Matano baada ya kuyapunguza sana, lakini bado nikimaliza mchango huu, group lile linaleta michango miwili au zaidi. Matatizo ni yale yale.
Tupunguze haya mambo jamani.
Mimi mtu akiniunga kwenye group bila kunijulisha awali na kunieleza kinaga ubagha lengo na madhumuni yake na kama halihusiani na kazi/ofisi yangu najitoa bila kupepesa mkono.Ni kero kwakweli, mtu ukibadilishana namba leo kesho ushaungwa group tayari updates za michango inakeraa
Harusi ni mzigo kwa wengine.hasa wale ambao hawachangagi kabisa kwa wenzao wao wanajua kudai hadi keroHabari wadau,
Leo nimepata muda kujiuliza hivi hii tabia ya Watanzania (walio wengi) au jamii yetu kupenda sana tabia ya kuanzisha michango na kuchangia tumeipata wapi? Au ni ile toka enzi za siasa za ujamaa na kujitegemea?
Sipingi kuchangia mambo muhimu, ni jambo jema sana kuchangia mambo muhimu ya maendeleo.
Lakini hivi sasa tabia hii imezidi kwa kweli. Najua kuchangia si lazima ni hiari Lakini imekuwa too much!
Kila group la whatsup likianzishwa, wiki ya kwanza ya pili mchango. Wanasiasa kitu kidogo, wananchi tunaomba mchangie kidogo. Tabia hii mpka serikali kupitia viongozi wake, wanahamasisha michango, huku wakizitafuna kodi bila kujali.
Leo mtu anafungua kesi mahakamani ambayo haina gharama zozote zaidi anahamasisha umma umchangie.
Nina magroup ya whatsup takribani Matano baada ya kuyapunguza sana, lakini bado nikimaliza mchango huu, group lile linaleta michango miwili au zaidi. Matatizo ni yale yale.
Tupunguze haya mambo jamani.
Ukipanga kuoa, jipange na hela zako.Acha kulialia, nimepanga kuoa mwakani jiandae kunichangia ndugu.