Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,771
Hoja ni ya Majigo. Mjibu yeye siyo mimi. Usijibaraguze. Umeshikwa pabayaNdio maana nasema una akili kama za kuku, iweje unichagulie lugha?
Huku ni kukimbia hoja
Kwa hiyo mtu akikuita kenge ni tusi kubwa sana?!Hapo kenge ndyo kilaza kabisaaaa.
Inawezekana matone ya mvua ni baridi sana ila maji ya mto in vuguvungu
Aisee kenge kumbe ana akili za hovyoKenge ana akili mbovu kabisa yeye matone ya mvua yakianza kumdondokea tu hukimbia haraka na kuingia mtoni sasa sijui huwa anawaza nini
hahah mkuu hiyo ya kujishtukia ni kweli kabisa ila je ukificha mbawa zake kichwani kwake Ataenda wapi?..yaani mfano upoteze uoni (macho) wako Utazijua hata foleni za posta wewe?Ukificha kichwa chake ndani ya mabawa yake, haendi popote pale, atasimama hapo hapo...
Alafu kuku ni kiumbe kinachojishtukia sana...
Mshana jr mzee usiekaukiwa na vijimambo na vihoja hebu nijibu hili swali,kama kuku hana kumbukumbu ya jana inakuwaje ukitoa yai moja haendelei kutaga,kwanini ameweza kujua there is missing eggy how is that possible!!!!! [emoji15]-Mwisho wa namba ni moja, akiwa na mayai kumi ukayaondoa yote hatagi tena ila ukimbakishia moja ataendelea.
-Akitaka kuangalia juu lazima jicho moja liangalie chini.
-Akitaka kusikiliza kitu lazima ageuze shingo kuweza kunasa mawimbi ya sauti.
-Hana kumbukumbu ya jana, akiamka uelekeo akaokwenda ndio huohuo.
-Ukimpiga kidogo tu kichwani anapoteza mwelekeo wote na kuchanganyikiwa kabisa.
- Hawezi kurudi rivasi hata kwa fimbo.
Mtu akikwambia una akili kama za kuku msamehe tu kwakuwa hajui alisemalo.
teh teh teh..anataka awe wa kwanza kuonja maji mapya mtoniKenge ana akili mbovu kabisa yeye matone ya mvua yakianza kumdondokea tu hukimbia haraka na kuingia mtoni sasa sijui huwa anawaza nini
Wa kienyeji anastuka anaondoka.....Jaribu kwa kuku yoyote yule... awe wa kienyeje au wa kisasa, ficha kichwa chake kwenye mabawa yake, hasogie kwenda popote pale...
Mshana jr mzee usiekaukiwa na vijimambo na vihoja hebu nijibu hili swali,kama kuku hana kumbukumbu ya jana inakuwaje ukitoa yai moja haendelei kutaga,kwanini ameweza kujua there is missing eggy how is that possible!!!!! [emoji15]
Unajua kwanini anabakishiwa moja? Ni kuboost kumbukumbu toa yote uoneMshana jr mzee usiekaukiwa na vijimambo na vihoja hebu nijibu hili swali,kama kuku hana kumbukumbu ya jana inakuwaje ukitoa yai moja haendelei kutaga,kwanini ameweza kujua there is missing eggy how is that possible!!!!! [emoji15]
mwambieni huyo.Kuku akitotoa ukamnyang`anya vitoto vyote atavitafuta hata baada ya Kesho yake.
Kuku anakumbuka mahali anapolala.
Ukiweka pumba mahali kuku atapakumbuka atapavizia kila siku.
Anakumbuka anapotagia.
hawezi kujibu. anachugulia tu. tehe teheMshana jr mzee usiekaukiwa na vijimambo na vihoja hebu nijibu hili swali,kama kuku hana kumbukumbu ya jana inakuwaje ukitoa yai moja haendelei kutaga,kwanini ameweza kujua there is missing eggy how is that possible!!!!! [emoji15]
Lkn kuku huyu mumsemae vibaya hajawahi kusahau uadui wake na mwewe wala kipangaTeh teh..Kuku akifumba macho tu akifumbua anasahau hata alipo..Ukiambiwa una IQ kama ya kuku inabidi uandamane aisee