Tabia za kuku

Mkuu ngafu.fijo hapo shida ni nani amkuli mwenzake,
Ngoja tuendelee kuangalia movie.
 
Hakika huu ni uzushi wa hali ya juu. Ni sawa na uhaini. Wewe unastahili adhabu kubwa sana.
 
Samahani wadau naomba nisaidieni namna ya kubadili email niliyojiungia kwenye jf tafadhari
 
Mkuu Si Kweli !!..Yaani Akumbuke kuongoza na kufika katika kiota chake kwa malengo ya kutaga alafu hasikute mayai yake Ila hasiendelee kutaga ndo unaita kusahau?....hapo hasau ila amestuka kuna bwege anamchezea mchezo mchafu!!

Jigo
Hahaha we jamaa hajatulia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…