ngafu.fijo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,237
- 1,099
Kila siku najiuliza nini kipo kati yao ila sipati jibu!!!!Mkuu Mshana Jr mmezidiana kete nn na Chacha?
hoja dhaifu hiziAisee huyu jamaa ananipa mashaka na urijali wake
Hapa naelewa sasa kwamba ile 20%-25% niyo inamkumbusha kurudi kiotani, na vtu vingine vidogovidogo.Kuku ni msahaulifu katika asilimia mia 75-80 hakumbuki
Teh teh..Kweli hiyo si utani..Huyu kuku wako balaa aiseeHAHAHAHA NINA MASHAKA NA COMMENT YAKO UWII NIMECHEKA BALAA WANAELEWA HUONI HUYU ANAPIGA BIA ALAAA
ATAKUWA WA KICHAGA MAANA SISI WA KASKAZINI KWA VITU HIVI KAWAIDAATeh teh..Kweli hiyo si utani..Huyu kuku wako balaa aisee
We ni muongo. Eti unasema kuku hakumbuki ya jana. Mbona leo ukiondoa mayai yake yote kesho anaacha kutaga. Acha uongo.
Wewe bwana wewe vipi wewe? Yaani unatufanya wote watoto. Unabakiza yai 1, kuku anaendelea kutaga, halafu unasema kuku hana kumbukumbu?Unajua kwanini anabakishiwa moja? Ni kuboost kumbukumbu toa yote uone
Leo umejitahidi kuandika point dogo. Keep it up na achana na mambo ya kupost habari za ushirikina.
Sawa kubwa naona sasa akili za kuku zinakutoka taratibu
Hakika huu ni uzushi wa hali ya juu. Ni sawa na uhaini. Wewe unastahili adhabu kubwa sana.-Mwisho wa namba ni moja, akiwa na mayai kumi ukayaondoa yote hatagi tena ila ukimbakishia moja ataendelea.
-Akitaka kuangalia juu lazima jicho moja liangalie chini.
-Akitaka kusikiliza kitu lazima ageuze shingo kuweza kunasa mawimbi ya sauti.
-Hana kumbukumbu ya jana, akiamka uelekeo akaokwenda ndio huohuo.
-Ukimpiga kidogo tu kichwani anapoteza mwelekeo wote na kuchanganyikiwa kabisa.
- Hawezi kurudi rivasi hata kwa fimbo.
Mtu akikwambia una akili kama za kuku msamehe tu kwakuwa hajui alisemalo.
Hahaha we jamaa hajatulia kabisaMkuu Si Kweli !!..Yaani Akumbuke kuongoza na kufika katika kiota chake kwa malengo ya kutaga alafu hasikute mayai yake Ila hasiendelee kutaga ndo unaita kusahau?....hapo hasau ila amestuka kuna bwege anamchezea mchezo mchafu!!
Jigo
Unaniogopa wewe.Wasiliana na Moderator
sorry! sahali ina maana gani?Jaribu lingine hilo ni sahali sana.
sorry! sahali ina maana gani?
Jigo