Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Matajiri wa kibongo wote wanatabia sawa kama umeshapata bafasi ya ku deal nao kibishara.
1. Wote ni waongo - atakuambia atakulipa siku fulani ila haitatokea
2. Wote ni warushi - atahakikisha katika biashara anakurusha ka kiasi fulani
3. Wote wana wivu - hawataki kabisa tulioko chini tuwasogelee ndio maana wanawake hila katika biashara
4. Wote wana roho mbaya - hawajali kabisa wewe kupoteza jasho lako anajuwa huna cha kumfanya
5. Wote ni wababe - Atakulalia sana akijuwa huna cha kumfanya
6. Kuchafua jina - Siku akikurusha yeye ndio anakuchafuwa jina kwa matajiri wenzake
Wanapenda waonyeshe utajiri wao sehemu za matumizi kama bar kwenye migahawa kwa ujumla, sasa fanya nao biashara uone ni vituko vitupu - full usanii
1. Wote ni waongo - atakuambia atakulipa siku fulani ila haitatokea
2. Wote ni warushi - atahakikisha katika biashara anakurusha ka kiasi fulani
3. Wote wana wivu - hawataki kabisa tulioko chini tuwasogelee ndio maana wanawake hila katika biashara
4. Wote wana roho mbaya - hawajali kabisa wewe kupoteza jasho lako anajuwa huna cha kumfanya
5. Wote ni wababe - Atakulalia sana akijuwa huna cha kumfanya
6. Kuchafua jina - Siku akikurusha yeye ndio anakuchafuwa jina kwa matajiri wenzake
Wanapenda waonyeshe utajiri wao sehemu za matumizi kama bar kwenye migahawa kwa ujumla, sasa fanya nao biashara uone ni vituko vitupu - full usanii