Tabia za utongozaji wa wanaume

Tabia za utongozaji wa wanaume

Kuna jamaa yangu alikuwa anaongea na demu kwenye simu ila siku wanaenda kukutana kimacho na kimwili alijificha kwanza amdhaminishe alivyomuona halipi akala kona na simu akazima!
LMAO!Kumbe hii inafanywa na wengi!Nlijua wachache!Hahahahahaha!
 
point of correction kwanza: wakiitwa wanaofanya ''tendo la ndoa'' humu, sijuiwatakuwa wangapi.
Siku hizi definition ya ''sex'' nadhani imebadilika, manake ziko za aina nyingi mno, sasa kwenye kulazimisha/bila idhini inaweza ikawa hajatoa idhini bali sauti ya mpigaji simu imemlazimisha kulazimika! sidhani kama muongozo wa supika unahitajika,lol!

Hivi kumbe sikujua .. duhhhhhKwahiyo kila kila kikuvunjacho moyoTutakiita "kubakwa"Mmhh mi nlizani kubakwa ni pale Unapolazimishwa kufanta (tendo la ndoa) "SEX" bila Hidhini ya mtu..
 
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.

Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.




shaliza hebu acha na wewe maneno yako ya kutukatisha tamaa bana,
dunia ya sasa ya TEKNOHAMA, inahitaji mabadiliko ya namna hii,
wewe naona unataka kuturudisha kwenye enzi za mwalimu,
ukitongoza basi ujue ni baada ya miezi 6 ndo unapata mzigo,
nani anapenda upuuzi huo sasa hivi, maisha haya yameshakuwa na mchakamchaka mkubwa tu..................

Tena, the vice versa is true, wadada nao siku hizi wako juu sana katika kuexpres feelings zao,
akikutaka nae anakupa tu...........................
 
Mimi binafsi sijajua kipi kinakushangaza. Kutongozwa sio sex ni ku express interest. then inafuata time ya kujuana nk. simu ni mode ya kuwasiliana. inaweza kuja barua, mjumbe au mwenyewe ana kwa ana. tatizo lako nadhani unadhani kutongozwa maana yake ni kuombwa sex. pole sana
 
Mambo ya kisasa haya hayaepukiki mbona wanao-oana kwa kujuana katika simu hawalaumiwi, waacheni bwana, hakuna mbaya yoyote
 
Jamani hilo linatokea haa kwenye FB, Wanawake wengi tu wanavuliwa kama samaki kwenye wavu,
Na mijiwanawake mingine inaandika Open Relationship ili waweze kutupa ndoana kwa mijiwanaume kama hao watongozaji, na sisi wanaume hatupendi kuizulumu nafsi basi unajitupia tu ka try then unasikilizia, utasikia kwani wewe unakaa wapi akisikia sauti tu, kesha kubali teheteheteheetehetehe
Wanaake wa sikuhizi balaa, hawakatai hata kidogo twehwtwhwtwhw
 
Unakuta mwanaume humjui anakutongoza kwenye simu unakubali hivi hii ni akili kweli.

Halafu unakuja kubakwa hivi utamlaumu nani.


Kwa mwanamke kutongozwa sio jambo la ajabu na pia kwa mwamume kutongoza sio jambo la ajabu pia . Ila nawauliza enyi kina mama( SIO WOTE LAKINI) mlio wengi kwanini mmesahau neno HAPANA na kukumbuka neno NDIO tu kila mkitongozwa hata na mwanaume ambaye hata humjui?????????????
 
sasa mpendwa mbona kichwa cha habari kinakuwa tofauti na maudhui?manake kutongozwa sio tatizo,bali kutongozeka. btn, sijui kwa nn watu tumekuwa desperate namna hi kuhusu mmu (wote,hata wakaka siku hizi wanalia lia eti 'i am 30 and single!'

mi hata sielewagi kwa kweli....nachoka kabisa....
 
Nimeshawala Dada zako kama wa 3 hivi kwa style hiii
kumbe una haka katabia ka kula wengi ndio maana umetuma thread unhisi mpenzi wako kajiunga JF kimbe unaogopa atagundua maovu yako
badilika sasa.kuwa mwaminifu kwake.
 
Usiogope sina mapembe mpenzi na wala sili watu ila ukikaa fresh nakutafuna bila kusikia maumivu



lol, nyie wa2 mwachekesha. We sokomoko wataka kumtafuna mwensio kwani kuku wa kuchoma huyo?
 
Utamkubaliaje stranger kweli Kazi mnayo wanawake!!


mie kwa ninavyojua, hakuna anyezaliwa akimjua m2 unless ni kakako/dadako, babako/mamako aka ndugu yako, otherwise mahusiano yeyote huanzia na strangers then mnadevelop ties, so sion ubaya wa watu kufahamiana kwenye mtandao na kuanza mahusiano. Mawazo yangu
 
Back
Top Bottom