Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Habari ndugu!
Kuna baadhi ya wanaume ndani ya ndoa huamua kumwendeleza kielimu/kumsomesha mke wake katika ngazi mbalimbali ili wasaidiane baadae kupambana na maisha!
Lakini tabia za hao wake za watu waliowengi wafikapo chuoni kwakweli tabia zao zinasikitisha na kukatisha tamaa!

Ilitazamiwa mtu mzima ambaye ni mke Wa mtu afikapo chuoni awe mfano bora Kwa mabinti wadogo kwa kuwashauri kujistili na tabia njema lakini cha kusikitisha wadogo ndiyo wamegeuka walimu wao katika kuwaharibu tabia.

Mke Wa mtu anatoka mkoani na tabia safi, mavazi mazuri lakini anapoanza chuo anageuka kahaba, hamnyimi mtu, anavaa vimini utafikiri baamedi, haachi kuruka viwanja na wengine pasipo aibu huvua Pete na kuishi kinyumba na mabwana mjini ili hali huko kijijini wameacha familia zao!

Wengine wakinogewa zaidi hulazimisha kuvunja ndoa zao ili aolewe!

========

Wake za watu waoneeni huruma waume zetu.
Na nyie wanaume wenzagu mnaosomesha, Acheni ubwege Wa kupitiliza! Wewe mkeo anaenda chuo na unatambua fika mkeo mashallah lakini hufuatilii amefikia wapi,analala wapi, anakula nini! Hufuatili nyendo zake chuoni kwakweli nanyinyi mnachangia sana wake zenu watafunwe!

LAKINI UKWELI WAKE ZA WATU WANATAFNWA KILAINI SANA HUKO VYUONI HADI AIBU!

*****************

Kuna jamaa angu alishachanganyikiwa kisa alimtembelea mkewe hosteli akakuta anatafunwa!
Badilikeni ndugu zangu !
 
Duniani watu wote hatuwezi fanana maisha mkuu, watu kama hao lazima wawepo tu na kuna wengine pia wanajiheshimu so usijistress mkuu waache wapambane na hali zao na waume zao.
Dooh lakini jaman siyo
 
Habari ndugu!
Kuna baadhi ya wanaume ndani ya ndoa huamua kumwendeleza kielimu/kumsomesha mke wake katika ngazi mbalimbali ili wasaidiane baadae kupambana na maisha!
Lakini tabia za hao wake za watu waliowengi wafikapo chuoni kwakweli tabia zao zinasikitisha na kukatisha tamaa!
Ilitazamiwa mtu mzima ambaye ni mke Wa mtu afikapo chuoni awe mfano bora Kwa mabinti wadogo kuwashauri kujistili na tabia njema lakini cha kusitisha wadogo ndiyo wamegeuka walimu wao katika kueaharibu tabia.
Mke Wa mtu anatoka mkoani na tabia safi, mavazi mazuri lakini anapoanza chuo anageuka kahaba, hamnyimi mtu, anavaa vimini utafikiri baamedi, haachi kuruka viwanja na wengine pasipo aibu huvua Pete na kuishi kinyumba na mabwana mjini ili hali huko kijijini wameacha familia zao!
Wengine wakinogewa zaidi hulazimisha kuvunja ndoa zao ili aolewe!
==============
Wake za watu waoneeni huruma waume zetu.
Na nyie wanaume wenzagu mnaosomesha, Acheni ubwege Wa kupitiliza! Wewe mkeo anaenda chuo na unatambua fika mkeo mashallah lakini hufuatilii amefikia wapi,analala wapi, anakula nini! Hufuatili nyendo zake chuoni kwakweli nanyinyi mnachangia sana wake zenu watafunwe!
LAKINI UKWELI WAKE ZA WATU WANATAFNWA KILAINI SANA HUKO VYUONI HADI AIBU!
************************
Badilikeni ndugu zangu !
Mkuu ungetuma na picha tujue kama kweli ni Wake za Watu au lah! Pia hivi bado kuna Watu bado wanasomesha Wake/Wachumba zao bado!?
 
Kwa dunia ya sasa kugongewa ni jambo la kawaida cha umuhimu nisikufumanie ndoa itaishia hapo hapo, likini turudi upande wa pili hivi kuna mwanaume kamili ambaye anatembea na mkewe tu toka wafunge ndoa na wameishi miaka mingi?, ukweli ni kwamba wanaume wengi tuna nyumba ndogo lakini tunahakikisha mke wala familia haipati tatizo wala kupungukiwa kitu na nitafanya kwa siri ili mke asijue
 
na vijana wa siku izi mshipa wa aibu hawana kabisaaaaaaaaa.....
kijana ana 20yrs anamkula mmama wa 35yrs bila hiyana na anampa dozi ya hatari mpaka mmama anauliza umepata wapi ujasiri wa kunichungulia na kunipa dozi kamili kama hii
 
Sijui chuon kuna nn ??? Ivi kwann wadada no matter ameolewa au kaacha mshkaji Kitaa ,akifika chuo lazima agongeke tuuuu .

Duuuuhuhhh nitaoa the one with a Low profile .
 
Mkuu ungetuma na picha tujue kama kweli ni Wake za Watu au lah! Pia hivi bado kuna Watu bado wanasomesha Wake/Wachumba zao bado!?
Wapo wasamalia wema wengi tu lakini daah pole yao
 
Umewaona waume za watu? Na pete wanavua kabisa, yaani hadi unasema kama ndoa ndio hivi hapana kwakweli.
 
Hata mm enzi zangu niliwakung'uta kinoma wanaume mjipange mnavyowapeleka wake zenu kujiendeleza.
 
Back
Top Bottom