Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

Tabia za wake za watu vyuoni kwakweli zinanikatisha tamaa badilikeni jamani

Ndugu uko sahihi kabisa,si huko vyuoni tu,hata ktk baadhi ya taasisi fedheha hizi zipo tena ni aibu wanapokuwa ktk koz wanajisahau sana na wanajitoa akili kabisaaa
 
Mkuu ungetuma na picha tujue kama kweli ni Wake za Watu au lah! Pia hivi bado kuna Watu bado wanasomesha Wake/Wachumba zao bado!?
...Mke/Mchumba hasomeshwi.....Ukitaka kulia kilio cha Mbwa Mdomo juu Jaribu hiyo kitu....na haya Matukio matatu hayatokuacha salama.(1)Uta...mbewa(2)Kuachika...la mwisho ukinusurika hayo mawili ni Dharau kushamiri/kuimarika ndani na usipoikubali hiyo dharau ambayo inaambatana na majibu ya hovyo UNAVUNJA NDOA YAKO!!!
 
Mie nilimtongozaga mmoja nilikuwa sijui kama kaolewa akaniambia ana mtu wake anasoma masters kipindi niko undergraduate halafu pia ana mume
 
SASA WABADILIKE KUTAFUNWA AU KUVAA MKUU?

KAMA KUBADILIKA KUTAFUNWA SI KILA SIKU TUNASEMA USIMUAMINI MWANAMKE HAPA SASA WAKE MNAWAAMINI VIP!
 
Kwa dunia ya sasa kugongewa ni jambo la kawaida cha umuhimu nisikufumanie ndoa itaishia hapo hapo, likini turudi upande wa pili hivi kuna mwanaume kamili ambaye anatembea na mkewe tu toka wafunge ndoa na wameishi miaka mingi?, ukweli ni kwamba wanaume wengi tuna nyumba ndogo lakini tunahakikisha mke wala familia haipati tatizo wala kupungukiwa kitu na nitafanya kwa siri ili mke asijue
Mr Majanga[emoji28]
 
Sasa usiombe wake za watu wanaosoma nje ya nchi jamani!!
 
Duniani watu wote hatuwezi fanana maisha mkuu, watu kama hao lazima wawepo tu na kuna wengine pia wanajiheshimu so usijistress mkuu waache wapambane na hali zao na waume zao.
Kabisa kiongozi lazima wawepo ili wengine wajifunze kupitia kwao
 
Kuhamishia Expansion Joints Dodoma pia kutaunguza Watumishi wengi wa Umma kutokana na kutenganishwa Familia!

Vijana msio na Ajira hiyo ni fursa kwenu
Kuna moja tena mme wake hali mbayaa ana kisukari, nataman afe nikamatie hilo mama
 
Wanawake mwalimu wao mmoja, ukinibishia nitajua tu hujaoa. Mwanamke pekee anayeweza asikuumize kichwa ni mamaako (hapa muondoe mama _____ ambaye inasemekana anabanduliwa na vijana)
Hahahhaa, duh hiyo exception balàa aisee. Naunga Mkono...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ndo maana nilisitisha kumpeleka mbitiyaza kuongeza digri ya tatu maana ningegongewa tu huko na hivyo ana mahips ya kufa mtu

hhahhaa ila jamaaa amesema ukweli hapo sitetei !nadhan na frustuations,kubanwa banwa na mambo ya ndoa na familia pia ! unaweza tafuta firaha kwa nia nyingi sio hizo wanazofanya !Ila nipeleke tu mwakani mzumbe hapo mume wangu ! ila kila wknd uwe unakuja !
 
Vijana wa chuoni kwa sasa ndio ajira yao hiyo wanasimamia show mpaka kinaeleweka hasa wakishajua mkeo ni in service anapokea salary mbona wanazana mpaka magadini(0713) ili mradi amalize chuo maisha yaendelee
Vijana kazeni kamba ila siku yako inafika kutakuwa na kilio na kusaga meno siku unafunguliwa marinda na big[emoji216][emoji244]
 
Mkuu umenena vyema na kuna hawa ndugu zetu waislamu wengi huwa wanakuja kuwaga vikahaba wanatupa kule shungi na majuba
 
Back
Top Bottom