Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Mke/Mchumba hasomeshwi.....Ukitaka kulia kilio cha Mbwa Mdomo juu Jaribu hiyo kitu....na haya Matukio matatu hayatokuacha salama.(1)Uta...mbewa(2)Kuachika...la mwisho ukinusurika hayo mawili ni Dharau kushamiri/kuimarika ndani na usipoikubali hiyo dharau ambayo inaambatana na majibu ya hovyo UNAVUNJA NDOA YAKO!!!Mkuu ungetuma na picha tujue kama kweli ni Wake za Watu au lah! Pia hivi bado kuna Watu bado wanasomesha Wake/Wachumba zao bado!?
Mr Majanga[emoji28]Kwa dunia ya sasa kugongewa ni jambo la kawaida cha umuhimu nisikufumanie ndoa itaishia hapo hapo, likini turudi upande wa pili hivi kuna mwanaume kamili ambaye anatembea na mkewe tu toka wafunge ndoa na wameishi miaka mingi?, ukweli ni kwamba wanaume wengi tuna nyumba ndogo lakini tunahakikisha mke wala familia haipati tatizo wala kupungukiwa kitu na nitafanya kwa siri ili mke asijue
Kabisa kiongozi lazima wawepo ili wengine wajifunze kupitia kwaoDuniani watu wote hatuwezi fanana maisha mkuu, watu kama hao lazima wawepo tu na kuna wengine pia wanajiheshimu so usijistress mkuu waache wapambane na hali zao na waume zao.
Kuna moja tena mme wake hali mbayaa ana kisukari, nataman afe nikamatie hilo mamaKuhamishia Expansion Joints Dodoma pia kutaunguza Watumishi wengi wa Umma kutokana na kutenganishwa Familia!
Vijana msio na Ajira hiyo ni fursa kwenu
Hahahhaa, duh hiyo exception balàa aisee. Naunga Mkono...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanawake mwalimu wao mmoja, ukinibishia nitajua tu hujaoa. Mwanamke pekee anayeweza asikuumize kichwa ni mamaako (hapa muondoe mama _____ ambaye inasemekana anabanduliwa na vijana)
Ndo maana nilisitisha kumpeleka mbitiyaza kuongeza digri ya tatu maana ningegongewa tu huko na hivyo ana mahips ya kufa mtu
Umewaona waume za watu? Na pete wanavua kabisa, yaani hadi unasema kama ndoa ndio hivi hapana kwakweli.
Wanaume tunasahau ya kwamba mchumba/mke hasomeshwi.acha wabebedwe kwan yote ni tamaa ya kuzan kusoma sanaa ndiyo kutoka kimaisha.Hizo mbili alizopata vp au hips hazikuwepo
mbona unaguna tena ? huenda ulikua hujui!Aiseee kumbe mbiti ni mke wako aisee duuh
\nilikua na rafiki mzenji !kifupi aliondoka chuo amesokota dread! sijui huwa nnMkuu umenena vyema na kuna hawa ndugu zetu waislamu wengi huwa wanakuja kuwaga vikahaba wanatupa kule shungi na majuba
asanteeeNlkua sijui mkuu hongera