Tabia za wanaume baadhi wa Dar zinaendana na dalili za ushoga

Siku hizi wanaume wa dar hata ugali wanasema wanasikia uvivu kuula so inabidi wanywe uji wa ugali na maharage tu.
 
Hahah! kasoro hizo tabia ila kujiangalia kwenye kioo sioni kama ni mbaya
Wanaume wa mkoani huku tunajiangalizia kwny maji yaliyotulia kwny beseni sio kugombania dressing table na wake/dada zetu.
 
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR.
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-

1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia ni mwanaume wa Dar[emoji85]
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, we nae ni mwanaume wa Dar[emoji125]‍♂[emoji125]‍♂
3. Uko arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa Usiku, we ni mwanaume wa Dar[emoji32]
4. Unaishi kigoma ila TV show unazoangalia ni shilawadu, chereko na ng'aringa'ri, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji12]
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar[emoji4][emoji4]
6. Uko Iringa ila Unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol [emoji3][emoji3] wewe ni wa Jiji la Makonda[emoji3][emoji3]
7. Unaishi Singida ila umemfollow Bob risky, James delicious na kaoge, wewe ni mwanaume wa Dar tena Uwanja Wa fisi[emoji15]
8. Unaishi Musoma ila una dressing table ndan, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji35][emoji35]
9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji41][emoji41]
10. Unaishi mtwara ila unaweka status picha ishirin, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji850][emoji4]

Aman iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani[emoji35]
 
Wanaume wa dar-ufafanuzi wake ni tabia za wanaume wanaoishi mkoa wa Dar Es Salaam.ufupisho wake umekuja "kimkakati"wa kupunguza herufi kutoka kwenye jina la mkoa huo.wamechukua Dar na kisha wakaziondoa hizi herufi "Es Salaam"wakabaki na herufi "DAR"hata ukiangalia kwa haraka haraka tyu huu ufupisho ulianzia kwao huko huko kwa uvivu wa kutamka maneno,kitabia wanaume wa dar n wavivu kuanzia kula mpaka "kutita".ila ungeandika wanaume wa mikoani wakija kuishi dar wanakuwa wanaume wa Dar mara mbili ya wale walioko dar kidogo ningekuelewa.ila huku tabora ama huku simiyu ama huku dodoma ama huku mbeya ama irunga "wanaume wa dar"ni marufuku mnao huko huko hasa manzese,kinondoni,mikocheni na kwingineko kwingi katika mji huo.hata idadi ya wanaume"mashoga kwa mkoa huo n kubwa sana ukilinganisha na mikoani"kama mtoa mada alivyokuwa analizungumzia hili la "ubaba"kuwa "mijibaba"
 
na vipi wacheza biko
 
wanaogopa hadi mende
Kuna mmoja aliwahi kuuwa panya, yaani baada ya tukio like huyoo kakimbilia Jf kuanzisha Uzi eti kwa jinsi alivyo pambana na panya buku ndani...[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…