Tabia za wanaume zisizowapendeza wanawake!

Shikamoo babu,
Kwa hayo mapwent ya bibi nimemzimia gafla lol!
 
Mtambuzi nisaidie kujua, hivi tabia za HorsePower zipo namba ngapi hapa? Au yeye ataangukia huko kwenye hizo aina nyingine utazoturushia tena wakati ujao?
 
hapo sasa.....badilika Mtambuzi........

Uzuri ni kwamba ukishajua unayo tabia mbaya, ni rahisi kubadilika...............Na nimeanza mdogo mdogo......
Siku hizi namkabidhi mama Ngina fungu la kujirusha na yeye ndiye anayechagua kiwanja cha matumizi..........Mpaka hapo sijabadilika tu?
 
Mtambuzi nisaidie kujua, hivi tabia za HorsePower zipo namba ngapi hapa? Au yeye ataangukia huko kwenye hizo aina nyingine utazoturushia tena wakati ujao?
Wewe hunipi tabu kukudadavua............Hiyo namba 4 tumeumana kabisaaa.............Hata sura yako inaonekana kabisa kuwa wewe ni KIGWASU.
 

mkubwa hapo point tupu, nimekubali
 

Thanks mate... at least hii ntascore mbili tu; Mtambuzi alishanifelisha aisee na umri huu!!!:A S-frusty2:
 
Hapo ndo nipo kwenye number 2 na wife katulizana chodroooo, sababu anajua hili janaume linaringa sana inabidi awe ananibembeleza na mimi nazidi kumridhisha kwa mapendo, sababu ananijali sana :cool2:
Heri yake anayaweza,
Mie ndio wa kuringa ili nibembelezwe ati!kwa raha zangu,
Raha ya kuringa niringe mie na mapozi ya kutosha lol!
 
Ruksa.... ila ngoja nikuwahi.

Wanaume wenye vitambi, isipokuwa ODM: Wanawake wengi wanapenda athletic figures (six pax lol)

Source: Preta, JF Arachuga.

Nadhani hawapendi wembamba sana, sio mwanaume hata kukugeuza kitandani hawezi!
 
Sipendi mwanaume asiyejua kujistiri nakikwapa,lol..halafu kwenye naniliu anakuwekea kwapa lake puani kabisa lol
 

wanawake hawapendi mwanaume mlevi
mwanaume asiyeweza majukumu
mwanaume asiyeweza kufanya maamuzi mwenyewe bila kuwashirikisha marafiki
mwanaume mchafu
mwanaume malaya
mwanaume mjinga
 
mwanaume asiyeweza kufanya maamuzi mwenyewe bila kuwashirikisha marafiki

katika kosa ambalo huwa mnalifanya wanaume ni hili..... huwa linatuudhi sana.....asante Mtende kwa kuliongezea.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…