Tabia za wanawake na sifa zao

Tabia za wanawake na sifa zao

Ethan Cruz

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2021
Posts
231
Reaction score
331
Hivi ni kwly?

Inasemekana wadada wanatabia tofauti katika mapenzi kulingana maumbo ya miili yao

(1): WASICHANA wafupi wanaongoza kwa WIVU wa MAPENZI na kuwajali wapenzi wao''

(2):WASICHANA warefu huwa hawawajali WAPENZI wao na hawaogopi MAHUSIANO kuvunjika pia hawajui kupetpet

(3):WASICHANA wenye dimpoz, mwanya, matege, hips, mbinuko hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika MAHUSIANO

(4):WASICHANA wanene huongoza kwa MAPENZI ya kwly yani akipenda amependa haswa

(5):WASICHAN wembamba hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa KUTENDWA

(6):WASICHANA weusi wanaongoza kwa kutoa....(K).....na KUPENDA WANAUME warefu na weupe

(7):WASICHANA weupe wakiongoza kwa KUZALIA nyumbani. na hawa weupe wengi wao huolewa wakiwa na KIDS tyr huku wakipenda
kuolewa na WAARABU kuliko wanaume weusi

#DK...#THEHOOD
 
FF0EA978-839B-4C65-BA14-24ACE89D23F0.jpeg
 
Back
Top Bottom