Tabia za wanyama wengi Ulaya zimewashangaza watafiti

Tabia za wanyama wengi Ulaya zimewashangaza watafiti

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
WanaJF Inakuwaje!

Watafiti wa maswala ya wanyama Kaskazini mwa ulaya hasa skendinevia/Nordic wameshangazwa sana na tabia za wanyama wengi wanaoliwa (Prey) kuhamia mijini kutoka porini na kufanya Makazi yao ya kudumu.

Hii ni kutokana na usalama wao. Wanaona wakiwa mjini karibu na binadamu wanajisikia Salama.

Kati ya hao wanyama ni ndege na Sungura pori na wengine. Mamlaka husika zimewaomba wakazi wasiwape chakula wawaache wajitafutie wenyewe kwasababu watawazoesha.

Pia Mbweha wengi nao wanaongezeka mijini (urban fox) kujitafutia chakula.

Je, sisi wamatumbi tunaweza kukaa karibu na hawa wanyama bila kuwadhuru?
 
Huku bongo hawawezi kufanya hivyo Kama huko mwituni kuna hali ngumu wanaona heri wakomae hukohuko kuliko kuja mitaani kama buza ati unapishana na swala..😂😂
Hata Kama nyakati zinabadilika basi jueni hilo huku kwetu haitakuwa leo labda ufanyike muujiza..
 
Huku bongo hawawezi kufanya hivyo Kama huko mwituni kuna hali ngumu wanaona heri wakomae hukohuko kuliko kuja mitaani kama buza ati unapishana na swala..😂😂
Hata Kama nyakati zinabadilika basi jueni hilo huku kwetu haitakuwa leo labda ufanyike muujiza..
Likitokea wimbi la wanyama kuja ktk makazi ya binadamu kuna uwezekano mkubwa hali hiyo ikazoeleka tu. Nafananisha na wale mbuzi wanaozurula uswahilini kuku mbwa minyau n.k
 
Likitokea wimbi la wanyama kuja ktk makazi ya binadamu kuna uwezekano mkubwa hali hiyo ikazoeleka tu. Nafananisha na wale mbuzi wanaozurula uswahilini kuku mbwa minyau n.k
Sahau ndugu hivi unajua wabongo wewe swala watafanywa kitoweo wataisha na wale wasiokulaga nyama kitaeleweka tu... Halafu nenda katafute zile video za nyumbu wakiwa wanafanya uhamisho utaelewa yanakimbia kama yamekula bangi... Sasa ndo yawe jiji kama dar yanahama yanaenda sehemu nyengine si yataweka na jam unakuta yanapita daraja sijui la mfugale mengine yanaanguka..😂😂 halafu yalivyo hovyo huwa yanakanyagana..

It's too risk maana na wanyama Kama simba,chui watakuja kuwawinda Sasa humo kwenye mawindo Kuna binadamu jua wataungwa tu nawenyewe wawe chakula ya fisi n.k😅
 
Sahau ndugu hivi unajua wabongo wewe swala watafanywa kitoweo wataisha na wale wasiokulaga nyama kitaeleweka tu... Halafu nenda katafute zile video za nyumbu wakiwa wanafanya uhamisho utaelewa yanakimbia kama yamekula bangi... Sasa ndo yawe jiji kama dar yanahama yanaenda sehemu nyengine si yataweka na jam unakuta yanapita daraja sijui la mfugale mengine yanaanguka..😂😂 halafu yalivyo hovyo huwa yanakanyagana..

It's too risk maana na wanyama Kama simba,chui watakuja kuwawinda Sasa humo kwenye mawindo Kuna binadamu jua wataungwa tu nawenyewe wawe chakula ya fisi n.k😅
Itakuwa kama Jumanji
 
Lakini pia wanyama watu wamefuata mapori ya wanyama porina kujenga Karibu, kwa hiyo wanyama wamejenga mazoea ya kupata chakula cha bure kutoka kwa wanyama wenzako ambao ni Binadam.
Tukumbuke pia wanyama jamii ya wazungu wanatupa sana mabaki ya chakula tofauti na wale wanyama jamii ya Wapogolo wanaopakana na Mikumi.
 
Hii ni dalili ya jinsi maisha yalivyokuwa magumu njaa kali kwa mabeberu wa hizi nchi za ulaya yaani hata wanyama wenyewe wameshtukia hilo
Wanyama hawa tunaweza kuwapa hifadhi ya ukimbizi , lakini sio mabeberu wenyewe
 
Huku bongo hawawezi kufanya hivyo Kama huko mwituni kuna hali ngumu wanaona heri wakomae hukohuko kuliko kuja mitaani kama buza ati unapishana na swala..😂😂
Hata Kama nyakati zinabadilika basi jueni hilo huku kwetu haitakuwa leo labda ufanyike muujiza..
Wazungu ni wanafiki muda huohuo wanachinja ng’ombe, nguruwe alafu wanajifanya wanahuruma
 
WanaJF Inakuwaje!

Watafiti wa maswala ya wanyama Kaskazini mwa ulaya hasa skendinevia/Nordic wameshangazwa sana na tabia za wanyama wengi wanaoliwa (Prey) kuhamia mijini kutoka porini na kufanya Makazi yao ya kudumu.

Hii ni kutokana na usalama wao. Wanaona wakiwa mjini karibu na binadamu wanajisikia Salama.

Kati ya hao wanyama ni ndege na Sungura pori na wengine. Mamlaka husika zimewaomba wakazi wasiwape chakula wawaache wajitafutie wenyewe kwasababu watawazoesha.

Pia Mbweha wengi nao wanaongezeka mijini (urban fox) kujitafutia chakula.

Je, sisi wamatumbi tunaweza kukaa karibu na hawa wanyama bila kuwadhuru?
Hata huku kwetu kuna haja ya kufanya utafiti kwa hawa kunguru wanaoiba mpaka nyama kwenye sufuria, tena ikiwa jikoni.
 
Huku bongo hawawezi kufanya hivyo Kama huko mwituni kuna hali ngumu wanaona heri wakomae hukohuko kuliko kuja mitaani kama buza ati unapishana na swala..😂😂
Hata Kama nyakati zinabadilika basi jueni hilo huku kwetu haitakuwa leo labda ufanyike muujiza..
Tembo na wanyama pori wengine wanavamia makazi ya watu kila siku
 
WanaJF Inakuwaje!

Watafiti wa maswala ya wanyama Kaskazini mwa ulaya hasa skendinevia/Nordic wameshangazwa sana na tabia za wanyama wengi wanaoliwa (Prey) kuhamia mijini kutoka porini na kufanya Makazi yao ya kudumu.

Hii ni kutokana na usalama wao. Wanaona wakiwa mjini karibu na binadamu wanajisikia Salama.

Kati ya hao wanyama ni ndege na Sungura pori na wengine. Mamlaka husika zimewaomba wakazi wasiwape chakula wawaache wajitafutie wenyewe kwasababu watawazoesha.

Pia Mbweha wengi nao wanaongezeka mijini (urban fox) kujitafutia chakula.

Je, sisi wamatumbi tunaweza kukaa karibu na hawa wanyama bila kuwadhuru?
Hiyo inaashiria kuwa nchi hiyo itapata tetemeko kunbwa kutokea baharini na kutatokea earthquake
 
hadi leo sijui nini utokea kwa wanyama kuwa na uwezo wa kusensi mambo yajayo kitu ambacho binadamu hawana kabisa.
Wanyama wanauwezo wa kusikia sesmic activities zinazotokea kwenye miamba ya chini, kwasasa binadamu ana technology ya ku sence activities hizo.
 
Back
Top Bottom