Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Robert Heriel Mtibeli -hizi nazo ni Changamoto.
Kataa Uzeeππ π
Huwa mnafanya nini huko FB Insta na tikitoku sinapachati?
Usikubali ushauri kutoka kwa Kila mzee! Even fools wanazeekaπ€π₯±Kibibi kimejaa mvi kichwani muda wote kipo online kinafatilia udaku huko IG Snapchat Facebook nk
Dingi kajaa mamvii kichwani halafu chawa
Dingi kavaa kata k.
Ongezea....
Hivi wahuni nao wanazeeka?[emoji848]
[emoji38][emoji38][emoji38]Kibibi kimebandika kope na kucha
Kibabu kinalialia mtandaoni "wakuu bibi yenu hanijali kabisa nifanyeje"