INAUZWA TABLET inauzwa

Elon Mzebuluni

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
225
Reaction score
139
Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha,
inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo.
Napatikana Mbeya nicheki kwa 0767142928 karibu tufanye biashara.
 
unataka ukadeposit forex utaliwa fanyeni kazi za kuonekana vijana forex mtakuwa wezi sio muda ukianza kuuza godoro nistue
 
unataka ukadeposit forex utaliwa fanyeni kazi za kuonekana vijana forex mtakuwa wezi sio muda ukianza kuuza godoro nistue
🀣 🀣 🀣 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…