Tabora asingeweza kuifunga simba kwa namna yeyoteKelele zote na malalamiko na refa Amina Kyando akabadilishwa baada ya Tabora United na Gongowazi kulalamika.Akaletwa refa Kyomo kutoka Mbeya bado Tabora United wakala chuma 3.
Mtalalama sana na timu bado inajengwa sasa hivi ndiyo asilimia 37 ya uwezo Kocha Fadlu anaoutaka ndio umefikiwa