Tabora: Amuua mke wake kwa kisu kisha ajiua kwa kunywa sumu. Aacha Ujumbe

Tabora: Amuua mke wake kwa kisu kisha ajiua kwa kunywa sumu. Aacha Ujumbe

Mwanaume mmoja wilayani URAMBO Mkoani Tabora amemchoma visu mke wake na kisha kujiua kwa kunywa sumu na kuacha ujumbe wa barua kwa familia ya mke wake. "Nilimuoa siku moja na tutakufa siku moja ,mtuzike pamoja"

Marehemu huyo aliyefahamika kwa jina la ISSAH SELEMANI amemchoma kisu aliyekuwa mke wake Mariam Nasoro ambapo Mwenyekiti wa kitongoji cha MASWANYA Songa Juma amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Chanzo: CG FM Tabora
Waislam nao mapenzi yanawatesa kumbe.
 
Kuna watu wanastahili kutozikwa....maybe hilo likianza wafanyika watapata akili....kuwe tu jalala la kutupa miili ya watu wanaofanya mauaji kama haya....
Ngoja waje kukushambulia wanaotupinga RC kwa msimamo wa kutowafanyia ibada za mazishi baadhi ya watu
 
Sio mapenzi,wanawake wengi husingizia watoto.Hivyo watoto ndio husababisha vifo vya wanawake.

Maranyingi Kama mwanamke hujazaanae mkizinguana nirahisi kuondoka zake.
Hapana bana, mtoto asiwe tatizo.
Mi nishaamua kuliko kumuumiza mtoto wa watu bora nikae mbali naye
 
Uue , hivi kuua miaka hii imekuwa very simple, Mungu okoa.
 
Kuna watu wanastahili kutozikwa....maybe hilo likianza wafanyika watapata akili....kuwe tu jalala la kutupa miili ya watu wanaofanya mauaji kama haya....
Msipomzika muhusika, jiandaeni kuivumilia harufu kali ya maiti yake huko majalalani.
 
9

Yanatengwa majalala special...
Kama ni kutoa fundisho hakuna haja ya kuwa na majalala special bali watupwe tu kama hizo takataka za jalalani. Lakini je hapo tunamwadhibu Nani kwa kufanya hivyo? Kumbuka mhusika ana ndugu, jamaa na marafiki.
 
Inaadhibiwa jamii pamoja na muhusika.

Haya mavitisho mara nyingi yanatolewa na ndugu na marafiki wanajua ila wanapuuzia.
 
Wanawake ,mnapogombana au kupishana na waume zenu mitizamo...punguzeni midomo mirefu na maneno makali kujibizana na waume zenu!!

Vifo vingine vinaepukika ,mnajua Sana kufyatua maneno makali!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumzika kwa amani Kamanda wetu kamsalimie Said na Hamza

hii vita haiwezi kuisha mpaka hawa kenge wanyooke kama moja mbwa hawa

hakuna kuachana hapa yaani mtu akupotezee muda umewekeza kwake kila kitu mpaka maisha yako halafu eti muachane k’rahisi rahisi ?

acheni mambo yenu ya kijinga bhana ….
 
Hizi habari wala hata sio ngeni ni vile tu siku hizi kumekuwa na urahisi wa habari kupatikana mtandaoni na kuenea kwa uharaka zaidi.

Ila inasikitisha sana kukatisha maisha ya mwenzako kisa kufata hisia zako tu
Kama unaabudu, hizo ndizo dalili za kiama!
Wakristo walinisomea andiko lao siku moja nilishangaa sana. Kama na wewe ni mtafiti, tafuta "Biblia" nenda " 2Timotheo 3:1-5"
Utaamini!
 
Ndoa hizi yani unalala na adui yako kitandani dah!
 
Mwanaume amejiua kwa kunywa sumu.Kuhusu mke hujaeleza kuwa alivyochomwa visu alikufa au alinusurika.
Mbona kichwa cha Mada kimeeleza yote.

Amuua mke wake kwa kisu kisha ajiua kwa kunywa sumu. Aacha Ujumbe​


Jibu: Mke hakunusurika, na alipoteza Maisha
 
Baada ya muvi kuisha ni Actionz
Kama una ndugu wa kike Vayolensi inakuja haipo mbali😂
 
Hapana sio watoto bwana. Hawa wanashindwa kuondokankwa sababu ya kupenda kuhudumiwa tuu. Mwanamke ambae anajimidi finacially ataondokanfasta tuu na anabeba na watoto wake. Ma superwoman ni wachache sana, wengi ni wannawake tegemezi
Umemaliza,tatzo kubwa ni njaa hakuna cha watoto wala nini kwanza mwanamke akiwa vzr kiuchumi anakuwa jeuri humbabaishi anabeba wanae atawalea peke yake ila ramani ikiwa haisomi utampiga umuue hatokiiiii
 
Back
Top Bottom