kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 148
Shule ya Sekondari ya Kata ya Ndevelwa iliyopo mkoani Tabora imeweka historia kwa kuwa na wanafunzi watoro kupindukia. Form Four wamebaki wanafunzi 3 kati ya 36. Form Three yupo mwanafunzi 1 kati ya 30 waliosajiliwa. Form Two na Form One ni aibu kupindukia.
Diwani anasema sababu ni kuwaoza mabinti na maisha magumu. Ikumbukwe huu ndio msimu wa kulima Tumbaku sasa.
Lipumba, Sitta, Prof. Safari jahazi linazama nyumbani. Source ITV
Diwani anasema sababu ni kuwaoza mabinti na maisha magumu. Ikumbukwe huu ndio msimu wa kulima Tumbaku sasa.
Lipumba, Sitta, Prof. Safari jahazi linazama nyumbani. Source ITV