TABORA: Mkoa wa Tabora nao Watangaza kumuunga mkono Lissu unakuwa mkoa wa 19 kutangaza azimio hilo

TABORA: Mkoa wa Tabora nao Watangaza kumuunga mkono Lissu unakuwa mkoa wa 19 kutangaza azimio hilo

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
===
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga mkono mgombea wa nafasi hiyo Tundu Lissu, na kubainisha kuwa wanataka kiongozi mchapakazi kwa maendeleo ya chama hicho.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa waTabora ,Yohana Lulyeho wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo ambapo amesema kuwa wameazimia kumuunga mkono Lissu wakiamini chama hicho kinahitaji mtu atakayeleta maendeleo ndani ya chama na mtu huyo ni Lissu.

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote


"Habari hizi za maridhiano na mapendano yaliyopo hazitaleta mabadiliko ya kisiasa kwenye nchi yetu, kwa hiyo tunahitaji kiongozi kama ambavyo katiba yetu imesema mara kadhaa, mwenye msimamo thabiti ambaye hawezi akayumbishwa na maneno ya pipi pipi, na kwa hali ya chama chetu ilivyo kiongozi huyo ni Tundu lissu", wameeleza.
 
===
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga mkono mgombea wa nafasi hiyo Tundu Lissu, na kubainisha kuwa wanataka kiongozi mchapakazi kwa maendeleo ya chama hicho.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa waTabora ,Yohana Lulyeho wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo ambapo amesema kuwa wameazimia kumuunga mkono Lissu wakiamini chama hicho kinahitaji mtu atakayeleta maendeleo ndani ya chama na mtu huyo ni Lissu.

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

"Habari hizi za maridhiano na mapendano yaliyopo hazitaleta mabadiliko ya kisiasa kwenye nchi yetu, kwa hiyo tunahitaji kiongozi kama ambavyo katiba yetu imesema mara kadhaa, mwenye msimamo thabiti ambaye hawezi akayumbishwa na maneno ya pipi pipi, na kwa hali ya chama chetu ilivyo kiongozi huyo ni Tundu lissu", wameeleza.
Tusubiri tarehe 21 yote yatajulikana mbivu na mbichi. hizi nyingine ni bwebwe tu
 
===
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga mkono mgombea wa nafasi hiyo Tundu Lissu, na kubainisha kuwa wanataka kiongozi mchapakazi kwa maendeleo ya chama hicho.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa waTabora ,Yohana Lulyeho wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo ambapo amesema kuwa wameazimia kumuunga mkono Lissu wakiamini chama hicho kinahitaji mtu atakayeleta maendeleo ndani ya chama na mtu huyo ni Lissu.

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

"Habari hizi za maridhiano na mapendano yaliyopo hazitaleta mabadiliko ya kisiasa kwenye nchi yetu, kwa hiyo tunahitaji kiongozi kama ambavyo katiba yetu imesema mara kadhaa, mwenye msimamo thabiti ambaye hawezi akayumbishwa na maneno ya pipi pipi, na kwa hali ya chama chetu ilivyo kiongozi huyo ni Tundu lissu", wameeleza.
Very objective!.
P
 
BDBFE65E-4F29-4BB7-BD65-08A3DE545AD7.png
 
Mbowe ameshindwa kabisa kusoma ALAMA za nyakati..si angefanya hata karesearch kadogo tu kama alivyofanya kwa Late Lowasa
 
===
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wajumbe na viongozi wa chama hicho mkoa wa Tabora wameazimia kumuunga mkono mgombea wa nafasi hiyo Tundu Lissu, na kubainisha kuwa wanataka kiongozi mchapakazi kwa maendeleo ya chama hicho.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa CHADEMA Mkoa waTabora ,Yohana Lulyeho wakati akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo ambapo amesema kuwa wameazimia kumuunga mkono Lissu wakiamini chama hicho kinahitaji mtu atakayeleta maendeleo ndani ya chama na mtu huyo ni Lissu.

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

"Habari hizi za maridhiano na mapendano yaliyopo hazitaleta mabadiliko ya kisiasa kwenye nchi yetu, kwa hiyo tunahitaji kiongozi kama ambavyo katiba yetu imesema mara kadhaa, mwenye msimamo thabiti ambaye hawezi akayumbishwa na maneno ya pipi pipi, na kwa hali ya chama chetu ilivyo kiongozi huyo ni Tundu lissu", wameeleza.
Hakuna kura ya mkoa bali kura ni ya mjumbe.

Msitujazie pumba hapa. Kama Lissu anashinda kama mnavyotuaminisha msingetumia nguvu nyingi kwenye mitandao kumtangaza hapa kila siku.

Subiri Jumanne 21/ 01 mtakavyoshangazwa na Mbowe. Mtalia kilio cha mbwa koko mdomo wazi meno nje
 
Back
Top Bottom