Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umemuhukumu?Huyo Mkufunzi wa Sensa ni Me au Ke?
WARUMI 6:23.
"Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu."
[emoji38]aisee nmekumbuka kile kitabuMambo ya Ngoswe yameanza [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nani kakataa kuwa hakuna mauti? Kwa taarifa yako waliookoka huwa hawabababishwi kabisa na kifo, sababu huamini kuna urithi wa uzima wa milele ulioandaliwa na Shujaa wa mauti YESU.Ujitakie, usijitakie mauti y'ako pale pale mkuu