Tabora: Mtumishi wa Afya akijibu mbovu kwa watu kumstukia juu ya vitu vilivyo-expire

Tabora: Mtumishi wa Afya akijibu mbovu kwa watu kumstukia juu ya vitu vilivyo-expire

Inawezekana aliyerekodi asijulikane. Hao waliorekodiwa inawezekana walikuwa hawajui kama wanarekodiwa.
Kwamba ni kawaida yao kuwa na mazungumzo kama hayo.
Unaweza ukarekodi kitu na kikarushwa hewani na mtu mwingine wa mbali huko Kwa kutumia deep web, nakwambia huwezi kumtambua.
Kwamba huwa kila mara wana argue hivyo hivyo word to word. Kwenye same location and same dressing code. Come on!!!
 
Huyu ni Muhudumu wa Afya Tabora na Mtaalamu wa Maabara.

Washkakaji wanaonekana wanajua wanachokifanya ila mtumishi anajibu full jeuri.

Mamlaka ziangalie jambo hili
View attachment 2470582
Huyo muuguzi hana kosa maana lliyetoa idhini ya mrdt kits kutumika ni Incharge lazima maswali yaanzie hapo.

Mwisho wa siku sijajua hapo ni nursing station au lab ili nijue nani alimfuata mwenzake ofisini na kuanza kumwambia yeye Hatumii mrdt zilizoexpire swali lakujiuliza...

Mpaka incharge wa kituo anatoa hili tamko huyu jamaa wa tughe alikuwa wapu hadi kuja kupoteza muda kuanza kuzuzana na Muuguzi.

Na Pia kingine kazjni kuna kitu Kinaitwa Inter na intra personal conflict naona ndo kitu kilichopo hapo na ndo maana huyo dada kaamua kumtolea shit huyu jamaa...

So ukiacha unafiki na kuangalia pande zote mbili lazjma ujue kuna minzani ya kuangalia kabla ya kuanza kumsagia huyo dada muuguzi.
 
Hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya hilo mliloshikia bango. My conviction dawa kuexpire ni lazima mkuu wa kituo anajua, kama kuadhibiwa huyu ndio anastahiki adhabu kubwa na pengine ndio anayempa jeuri huyu nurse kujibu hovyo.
 
Mkuu,kwa ninavyofahamu ,aliyemrekodi amevuka mstari alipoipost hii video hapa.Hawa wote ni watumishi wa umma
Hajavuka mstari Ukiona unatetea kitendo cha huyo jamaa jua kabisa na wewe hauko Sawa kwenye utendaji wako.. Yani upo saresare na huyo mpuuzi..

Hivi unajua vizuri madhara yanayoweza mpata mtu kwa kunywa dawa zilizo expire?..

Mfano mzuri mimi Kuna manzi yangu alipewa dawa zimeexpire Kuja kugundua tayari week imepita.. Hivi huo sio uuaji kweli??
 
Waelekeze kuna watu hawajui chochote kuhusu afya huko makazini af wanakuja kuongea vitu wasivojua

Kwahiyo kama hufanyi kazi hupaswi kuuliza,kwa sababu hatupo kwenye afya hatuoni mabaya yakitendeka,Watanzania tunapenda sana kutetea vitu kama huyo kakosea awajibishwe sio lazima afutwe kazi kuna njia nyingi sana na awe accountable na kile afanyacho and by the way course ya afya ni muhimu kama zilivyo kada nyingine hamna aliye juu kuliko.
 
Wacha we!...kwamba ni kawaida
Sio kawaida kaka ni makosa,,,
So kuepuka hizi namtoboa nampima yawezekana nsisome hata kipimo (najua tyr ana malaria ) nampa ALU anaondoka ameridhika anaenda anakunywa na anapona akija next time atataka anipe takrima ntamkatalia sabab najmume lofa
kaka usiwaambie chochote unapoteza tu nguvu zako kuna watu humu hawajui chochote yan unapp
Wajinga sana hao majamaa,
Ndio maana mabosi zao wakiumwa wanaenda kuibiwa nje kwani wanajua maujingaujinga yao kama haya
naww katibiwe nje kama una uwezo huo?yan huku kunaitwa
Huyo muuguzi hana kosa maana lliyetoa idhini ya mrdt kits kutumika ni Incharge lazima maswali yaanzie hapo.

Mwisho wa siku sijajua hapo ni nursing station au lab ili nijue nani alimfuata mwenzake ofisini na kuanza kumwambia yeye Hatumii mrdt zilizoexpire swali lakujiuliza...

Mpaka incharge wa kituo anatoa hili tamko huyu jamaa wa tughe alikuwa wapu hadi kuja kupoteza muda kuanza kuzuzana na Muuguzi.

Na Pia kingine kazjni kuna kitu Kinaitwa Inter na intra personal conflict naona ndo kitu kilichopo hapo na ndo maana huyo dada kaamua kumtolea shit huyu jamaa...

So ukiacha unafiki na kuangalia pande zote mbili lazjma ujue kuna minzani ya kuangalia kabla ya kuanza kumsagia huyo
Ha
Hapa kuna tatizo kubwa zaidi ya hilo mliloshikia bango. My conviction dawa kuexpire ni lazima mkuu wa kituo anajua, kama kuadhibiwa huyu ndio anastahiki adhabu kubwa na pengine ndio anayempa jeuri huyu nurse kujibu hovyo.
Kwahiyo kama hufanyi kazi hupaswi kuuliza,kwa sababu hatupo kwenye afya hatuoni mabaya yakitendeka,Watanzania tunapenda sana kutetea vitu kama huyo kakosea awajibishwe sio lazima afutwe kazi kuna njia nyingi sana na awe accountable na kile afanyacho and by the way course ya afya ni muhimu kama zilivyo kada nyingine hamna aliye juu kuliko.
Sawa waziri wa afya
 
Muhudumu mwenye 'Gubu' na mwenye 'Shobo' wanapobishana kuhusu dawa na vifaa tiba vilivyopungua ufanisi(Expire), wakiawaacha wagonjwa wanataabika. Afrika nani aliyetulaani? Vifaa tiba na madawa yalikwisha muda wake ni Sawa na treni yenye kasi inayowawaisha wagonjwa kufikia mauti yao.. Namuomba Mkurugenzi kwa kushirikiana na wadhibiti ubora wa afya na mganga mkuu wa hiyo Halmashauri wafuatilie suala hilo, na hao 'Mbwa' wachukuliwe hatua. Kuna vijana wengi wanataka hizo nafas, ambao wangefanya kazi kwa bidii na ufanisi. Lakini serikali isiwe tu inajenga miundombinu ya afya pasipo kuongeza vifaa tiba na madawa yalio ktk muda kutumika.
 
Sasa kwanini ulikasirika kuitwa layman mkuu wakati hata mm ni layman kwenye vyote isipokua medicine?
Bado na ww ni layman kwenye hiyo medicine yako...huwezi kutetea ujinga kama huu

Umeulizwa hapo juu ww binafsi ukiumwa na ukaenda kupimwa halafu ukapewa dawa zime expire utatumia? Jibu ndiyo/hapana sitaki majibu ya siasa hapa
 
Back
Top Bottom