Tabora: Mume amuua mkewe na kumfukia chini ya uvungu wa kitanda.

Tabora: Mume amuua mkewe na kumfukia chini ya uvungu wa kitanda.

Bibi wajukuu zako tukinywa Visungura Huwa ubongo unaenda likizo
Hebu mutuhurumie kidogo. Wenyewe tumekaa na babu yenu bukheri tunapunga upepo mara anakuja kijana kukuonyesha jinsi ulivyotukanwa kwenye mtandao kwa kosa ambalo hata huelewi limetokea wapi.

Unaishia kupata mshtuko wa moyo bure tu.
 
Hebu mutuhurumie kidogo. Wenyewe tumekaa na babu yenu bukheri tunapunga upepo mara anakuja kijana kukuonyesha jinsi ulivyotukanwa kwenye mtandao kwa kosa ambalo hata huelewi limetokea wapi.

Unaishia kupata mshtuko wa moyo bure tu.
Bibi mti unaokupa kivuli si ajabu kukuangushia nyoka.
Kabla ya kufkia hapa tulipo waalimu ni hao babu zetu... Amini Bibi mbegu wanazopanda babu zetu kwenye maushamba tofauti zimeleta shida.
 
Ukishaona mtu hamuelewani ,fanya maamuzi .

Nasikitika wanawake ndio wahanga wa kitu kinachoitwa matokeo ya wivu wa mapenzi.
 
Wanaume wa humu wanastress sana,imagine mtu kusema wandengereko ni wavivu kama wagogo mtu anatokwa na maneno kiasi kile,Mungu tuhurumie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji857][emoji857][emoji857]
 
Kweli Kuna watu wanakuja tu wanajibu watu ovyoo hata Mimi mtu kaja kanijibi vibaya mpake asikuzoee
Utajibiwa vibaya kama una andika upupu wa [emoji90][emoji90][emoji90] otherwise utajibiwa vizuri tu
 
Ukishaona mtu hamuelewani ,fanya maamuzi .

Nasikitika wanawake ndio wahanga wa kitu kinachoitwa matokeo ya wivu wa mapenzi.
Kuna kitu huyo dada alifanya sio burebure mshahara wake ndo huo sasa
 
Back
Top Bottom