Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 May 28, 2021 #41 logframe said: Siku akimuua Hakimu bila kukusudia ndipo akili zitawajia hapo mahakamani. Click to expand... π π π
logframe said: Siku akimuua Hakimu bila kukusudia ndipo akili zitawajia hapo mahakamani. Click to expand... π π π
Mvumbo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 3,489 Reaction score 12,137 May 28, 2021 #42 Hiyo ni mara ya pili kuua na kwa kuwa ameshindwa kujifunza kutokana na hukumu ya mwanzo na amerudia kosa, ilipaswa ahukumiwe kifungo cha maisha na kazi ngumu ili iwe fundisho...maana zinazotoka ni roho za watu na sio kuku.
Hiyo ni mara ya pili kuua na kwa kuwa ameshindwa kujifunza kutokana na hukumu ya mwanzo na amerudia kosa, ilipaswa ahukumiwe kifungo cha maisha na kazi ngumu ili iwe fundisho...maana zinazotoka ni roho za watu na sio kuku.