Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Mungu wako wa kilokole alizidiwa nguvu na waswahili wapinga kristo ? Basi atakuwa Mungu feki kama wa Hawa rafiki zako .Nimeishi Tabora na Sikonge nimerogwa sana na hao Waswahili wapinga Kristo
Hebu jifunze kutofautisha kati ya kanisa na genge la wahuni .Hilo sio kanisa ni genge la wahuni ndio maana hawana usajili wa kanisa , hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa , unaitaje kanisa vichaa wa namna hii? Hebu jipime mkuu . Nyinyi ndio wakristo fata mkumbo hata ibilisi akija kwa njia ya haya makanisa feki mnaunga mkono bila hata kupima .Hilo kanisa liachwe ili litoe huduma za kiroho katika mji uliojaa ushirikina
Waachwe watangaze neno la Bwana na wasafishe mapepo kwenye huo mtaaHebu jifunze kutofautisha kati ya kanisa na genge la wahuni .Hilo sio kanisa ni genge la wahuni ndio maana hawana usajili wa kanisa , hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa , unaitaje kanisa vichaa wa namna hii? Hebu jipime mkuu .
Hebu jifunze kutofautisha kati ya kanisa na genge la wahuni .Hilo sio kanisa ni genge la wahuni ndio maana hawana usajili wa kanisa , hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa , unaitaje kanisa vichaa wa namna hii? Hebu jipime mkuuHilo kanisa liachwe ili litoe huduma za kiroho katika mji uliojaa ushirikina
Neno la bwana halitangazwi na wahuni na vibaka linatangazwa waadilifu , wacha Mungu na wanyenyekevu , Soma 6:5 Mathayo Yesu Kristu anasemaje , Tena msalipo msiwe Kama wale wanafiki wanaotaka waonekane na watu ...... Wewe genge lako la wahuni mnamfuata Yesu Kristu yupi ? Maana maigizo yake haya hapa . Wapi Yesu Kristu amewaambia muwapigie watu muziki mkubwa sana kama vichaa ?Waachwe watangaze neno la Bwana na wasafishe mapepo kwenye you mtaa
Heshimu Imani za wenzako NduguMungu wako wa kilokole alizidiwa nguvu na waswahili wapinga kristo ? Basi atakuwa Mungu feki kama wa Hawa rafiki zako .
Huyu aliyeleta bandiko atakuwa kakosa mgao wa sadaka huyu, hakuna baa ,kanisa ,hotel ,msikiti inayoweza kupiga mziki 24 hrs natudia hakuna ,24hrs ?ina maana wanapokezana hapo kupiga mziki?hata hivyo vyombo vingeibwa,tunamambo mengi ya kujadili tupumzishe kidogoKufuatia ripoti za kanisa lililojengwa katikati ya barabara na kupiga muziki mkubwa sana masaa 24 huko kata ya Kitete , mtaa wa Kariakoo Tabora imebainika kuwa kinachoitwa kanisa ni genge la wahuni vijana watupu wasiozidi miaka ishirini na tano ndio wanaoendesha uhuni huo
1. Kinachodaia kanisa hawana usajili wa kanisa kama sheria zinavyotaka
2. Hawana kibali cha ujenzi
3. Hawana kibali kuendesha kanisa
4. Hawana kibali cha afisa utamaduni kuruhusu wanachokifanya
Kwa kuwa kinaichoitwa kanisa hakina vibali husika , na Kuna vitendo vya kihuni vinavyofanywa na genge hilo lialojiita kanisa , sisi wakazi wa mtaa wa Kariakoo tunawataka afisa mipango miji, afisa mtendaji kata, afisa mtendaji mtaa na mwenyekiti wa mtaa kusimamisha shughuli zozote za kinachoitwa kanisa hilo na sheria zifutwe Kama tulivyokaa kikao na nyinyi siku ya inumaa tarehe 5/3 2021, ambapo mliahidi kuchukua hatua iwapo genge hilo la wahuni litaendelea na vurugu ikiwa I pamoja na kupiga muziki mkubwa sana huku kukiwa na shule mbili eneo hili, huku kukiwa na wagonjwa, wazee, watoto.
Afisa mipango miji kinachokufanya ushindwe kuchukua hatua ni nini? Maana Hawa watu hawana usajili wa kanisa, hawana kibali cha ujenzi, hawana kibali cha kuendesha kanisa/ ibada , sasa hebu chukua hatua Kama ulivyoahidi
Afisa mipango miji wewe mwenyewe umethibitisha madai ya wakazi wa mtaa kuwa genge hilo halina uhalali wa shughuli linazofanya kinyume na utaratibu. Hebu haki itendeke sisi hatutaki kujichukulia sheria mkononi. Mchungaji kusema amewaweka mfukoni kunaleta picha mbaya be.
View attachment 1726955View attachment 1726957
Haisaidii ukipotosha , ukweli uko palepale , soma barua hapo juu mwenyekiti wa mtaa , mtendaji kata na barua ya afisa mipango miji zote zinathibitisha wewe unapinga kama nani ukweli unabaki palepale .Huyu aliyeleta bandiko atakuwa kakosa mgao wa sadaka huyu, hakuna baa ,kanisa ,hotel ,msikiti inayoweza kupiga mziki 24 hrs natudia hakuna ,24hrs ?ina maana wanapokezana hapo kupiga mziki?hata hivyo vyombo vingeibwa,tunamambo mengi ya kujadili tupumzishe kidogo
Siwezi kuheshimu imani feki , na imani feki zinajulikana tu kwa vitendo vyao , kanisa la Mungu kwa mujibu wa mafundidho ya Yesu Kristu halina huu upumbafu unaotajwa hapa , ukurupuke kuanzisha kanisa bila usajili ? Ujenge bila kibali cha ujenzi , uendeshe kanisa bila kibali , uwapigie watu muziki mkubwa kama wehu , unahubiria waumini kanisani au unahubiria mtaa ? Kama unahubiria mtaa je ni waumini wa dini yako , acheni kero na uvunjifu wa sheria kwa kisingizio cha dini au kanisa .Heshimu Imani za wenzako Ndugu
Kuwa realistic inamaana nikienda hilo eneo muda huu mziki unapigwa?,nikienda saa mbili usiku mziki unapigwa ?je saa 7 uck ,kuwa muungwana na jiongezeee shughuli za kuongeza kipato utapunguza kufuatilia yasiyo kuhusu.Namaliza kusema tujenge taifa sio majunguHaisaidii ukipotosha , ukweli uko palepale , soma barua hapo juu mwenyekiti wa mtaa , mtendaji kata na barua ya afisa mipango miji zote zinathibitisha wewe unapinga kama nani ukweli unabaki palepale .