TUSHIRIKISHANE TABORA: Timu ya JamiiForums yapata ajali maeneo ya Mbaoni - Urambo

Du!
Poleni sana.
Sehemu ni nzuri tu ya ajali, sababu ni nini?
Aidha
  1. Mwendo kasi, ruts (vituta vya kuudhi barabara za udongo hupokonya usukani)
  2. Kupasuka tairi
  3. Dereva usingizi
Haya ni majumuisho yangu ya safari zangu nyingi mikoani.
Hata hivyo ni vema kumshukuru Mungu it could have been much worse.
 
Poleni sana wenzetu
Lakini Simu nyingine mkija msitusahau nasisi wa Wilaya ya uyui japo jiografia ya Wilaya hii ni mbaya basi tunaweza kutana hata tabora mjini
 
Dah,poleni sana wapambanaji wetu. Katika utekelezaji wowote ule hua mikosi haikosekani ichukulieni kama mitihani tu. Mungu awanusuru daima ameen.
 
Poleni sana. Ashukuriwe MUNGU aliyewaponya na kuulinda UHAI wenu
 
Poleni mkuu, Mungu awafanyie wwpesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…