Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Somo la uzalendo limekuwa gumu sana hapa kwetu ,wenzetu huko epl na ulaya yote kwa ujumla timu ya nyumbani inapocheza hata na timu kubwa unayoishabikia uzalendo ni kuvaa jezi ya timu ya nyumbani ,skafu za timu ya nyumbani kuishangilia timu yenu ! Hakuna faida yoyote wakayooipata tabora ikiwa simba itashinda Leo ! Lakini pia tabora ikishuka daraja wasahau kuhusu kuziona simba au yanga hapo kwao ! Tujifunze uzalendo timu ya mkoa wako inapokuwa uwanjano onyesha mshikamano