Tabora: Watoto wakodi muuaji akaue Mama yao

Naona Dunia inaenda kwa Kasi Zaid maana haya matukio hayakuwepo zaman
 
Yaanihawa wasukuma washambasanawana aminisanaushilikina
 
Huko Tabora na kanda ya ziwa watu hukodishwa kwa shs.5,000/= tu kumuua mama kwa visingizio vya ushirikina, mambo haya yapo miaka na miaka na ndiyo yalimfanya mzee Mwinyi ajiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…