Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wananchi wa Kijiji cha Kalangale, Kata Miswaki, Wilaya Uyui Mkoa wa Tabora wamenifaika na Mradi wa Zahanati uliokamilika na kuzinduliwa Mei 25, 2024.
Awali, walikuwa wakiangaika kufuata Huduma za Afya kwa umbali mrefu jambo ambalo ilikuwa ni tatizo hasa kwa akina mama Wajawazito na Watoto.
Mbunge wa Jimbo la Igalula, Venant Daud Protas ameshiriki uzinduzi huo ambayo ilianzishwa kwa nguvu za Wananchi pamoja na Mbunge kisha Rais Samia Hassan Suluhu akawapatia Shilingi milioni 50 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo.
Mbunge huyo ameeleza kuwa baada ya kukamilika mradi Rais Samia ameongeza Shilingi milioni 25 kwa ajili ya vifaa tiba kwa niaba ya Wananchi.
Amesema awali Wananchi wa eneo hilo walilazimika Kwenda umbali wa umbali wa Kilometa 21.
Aidha, Mbunge kupitia ofisi yake wamezindua zoezi la ‘kumtua mama ndoo kichwani’ kwa kuzindua kisima cha maji kinachotumia pampu kijijini hapo.
Amesema tayari bomba hilo limeanza kuhudumia Wananchi hao wakiwemo jamii ya wafugaji na wakulima.
Awali, walikuwa wakiangaika kufuata Huduma za Afya kwa umbali mrefu jambo ambalo ilikuwa ni tatizo hasa kwa akina mama Wajawazito na Watoto.
Mbunge wa Jimbo la Igalula, Venant Daud Protas ameshiriki uzinduzi huo ambayo ilianzishwa kwa nguvu za Wananchi pamoja na Mbunge kisha Rais Samia Hassan Suluhu akawapatia Shilingi milioni 50 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo.
Mbunge huyo ameeleza kuwa baada ya kukamilika mradi Rais Samia ameongeza Shilingi milioni 25 kwa ajili ya vifaa tiba kwa niaba ya Wananchi.
Amesema awali Wananchi wa eneo hilo walilazimika Kwenda umbali wa umbali wa Kilometa 21.
Amesema tayari bomba hilo limeanza kuhudumia Wananchi hao wakiwemo jamii ya wafugaji na wakulima.