Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Bila namba 9 yenye weledi wa kutosha? Sikupi kibwagizo changuGame ya mwisho mnamaliza cairo, hakika uto mnataabika sana nayule mido kisheti wetu tabu lelee ameupiga mwingi mno mpaka ukamwigika, muda wote namwona yeye tu uwanjani.
Hakika tutatinga final za champions league kwa hiki kiwangu kikubwa cha tabulele.
Wananchi TABU LELEEEEEEE!
Wote tuitikie LELEEEEEE
Timu yenye viongozi vimbelembele na wapenda sifa ila uwezo ndo sofuri? yaan unaleta kina tabu lelee aje kutumbuiza, hilo ni tamasha? eti unaupa mchezo jina la mchezaji, bacca day uliona wapi? upuuzi tupu.Unaiponda timu ilokuchapa bao 5?
Tabu leleeee?Wamevipiga Vita vilivyo Vizuri, Mwendo wameumaliza....
Malengo Ya Msimu Yametimizwa...
Hivyo tunaitikia Leeeeeeeeeeee...!
CAFCL imevamiwa na wahuni wallah, mpaka sasa wapo mkiani 😂😂eti unaupa mchezo jina la mchezaji, bacca day uliona wapi? upuuzi tupu.
Unateseka ukiwa wapi? Wenzako tumetulia huku tukiwa hatuna presha ya aina yoyoye ile. Tutolewe, tusitolewe! Kwetu ni sherehe tu.Game ya mwisho mnamaliza cairo, hakika uto mnataabika sana na yule mido kisheti wetu tabu lelee ameupiga mwingi mno mpaka ukamwigika, muda wote namwona yeye tu uwanjani.
Hakika tutatinga final za champions league kwa hiki kiwangu kikubwa cha tabulele.
Wananchi TABU LELEEEEEEE!
Wote tuitikie LELEEEEEE
Hawa watu ka ali kamwe kanawacontroo kama mamisukule, yakiambiwa lieni mooo! utasikia MOOOO! yakiambiwa semeni tabu lelee, utasikia LELEEEE! Ila baada ya mechi wanaanza visingizio vengine.CAFCL imevamiwa na wahuni wallah, mpaka sasa wapo mkiani
Sio ninyi mlikuwa mkijitapa mwarabu atakula khamsa kama alizokula mikia? sema haukuwa miongoni mwao?Unateseka ukiwa wapi? Wenzako tumetulia huku tukiwa hatuna presha ya aina yoyoye ile. Tutolewe, tusitolewe! Kwetu ni sherehe tu.
Labda robo fainali ya miso misondo .Nyie wote humu unaokashifu yanga,nawahakikishieni yanga inaingia robo final kibabe
Unafikiri unacheza na malumo eti?Nyie wote humu unaokashifu yanga,nawahakikishieni yanga inaingia robo final kibabe
Huyu alikamwe kunasiku atayaamuru yaje uwanjani yakiwa yamevaa juu tu.Hivi Gamond kile ni kichwaaa au tofali kile hebu nisaidieni.
NB , Ally Komwe anataka game ijayo watu wavae kama Bonny Mwaitege huko
Unamuhakikishia Nani we Ndugu...Mtafute Mzungu Pori Umuhakikishie...!Nyie wote humu unaokashifu yanga,nawahakikishieni yanga inaingia robo final kibabe
sasa ingekuwa serious si ungepigwa 10? Si ushukuru.Timu yenye viongozi vimbelembele na wapenda sifa ila uwezo ndo sofuri? yaan unaleta kina tabu lelee aje kutumbuiza, hilo ni tamasha? eti unaupa mchezo jina la mchezaji, bacca day uliona wapi? upuuzi tupu.
Sawa mkuu, ila nangojea Mwam nyeto day tuone ka ali kamwe katawaambia mfanye nInI.sasa ingekuwa serious si ungepigwa 10? Si ushukuru.