Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
😂😂Jaman mi nauliza Kwan Simba group lake nalo jepesi au washakubali kua nao ni wahovu so njia ya kujifariji ni kuiponda yanga? Mara mia mechi za yanga 1)Cr home 2)madeama home/away mechi ambazo ni saizi kabisa kama Gamond ataacha ujinga. Sasa kwa mtani mechi ambazo iwe kufa au kupona kumfikisha robo ni wydad home/away au apate sare then 2 za janweng na asec ashinde🤣🤣🤣 ngoja tuone. Ila kulwa na doto wote wajipange hamna mwenye nafuu
Sisi hatuna wasiwasi
Najua huamini ila ni kawaida yetu kufuzu
wait and see timu kubwa inapitia majaribu na inakaa kwenye mstari chap mambo yanakaa sawa
Ngoja uone