Tabu ley afariki dunia

Tabu ley afariki dunia

Status
Not open for further replies.
duuu ebwanaee, ni tetesi au? maana kichwa cha mada ni kama una uhakika vile
 
mke wake si yupo hapo Dar kwani si angethibitisha!!
 
NIMESHAPATA UHAKIKA KWELI AMEFARIKI ANGALIA TETESI - TABU LEY AFARIKI DUNIA - Wanabidii | Google Groups
 
NIMESHAPATA UHAKIKA KWELI AMEFARIKI ANGALIA TETESI - TABU LEY AFARIKI DUNIA - Wanabidii | Google Groups


Hii si ni wewe...umeandika uko sasa what the point.
 
Nimeuliza huko na nimeshapatiwa jibu huko ndio link hiyo tatizo nini ?? ULITAKA NITOE LINK GANI ??
 
Kama kuna ukweli wa swala hili, Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi.
 
Nimeuliza huko na nimeshapatiwa jibu huko ndio link hiyo tatizo nini ?? ULITAKA NITOE LINK GANI ??
-kuna jamaa mmoja alikuambia urudi shule.....bwa ha ha ha ha ha ha
 
NIMESHAPATA UHAKIKA KWELI AMEFARIKI ANGALIA TETESI - TABU LEY AFARIKI DUNIA - Wanabidii | Google Groups

Shy,

mbona unatupatia link ya forum nyengine?..That is not really
a credible source.Hio ni kama mtu aandike tetesi humu JF
kisha uende huko wanabidii uwape link ni ya JF as a credible
source to a posting.

Hii ishu imeripotiwa na News Agency gani?
 
Kw hiyo mie hapa bado sijawasoma ni kweli amefariki bado hamjathibitisha? naomba mnidadavulie mwenzenu
 
Hakuna chombo chochote cha habari kinachothibitisha kifo cha Tabuley (nimetafuta sana kwenye mtandao). Huyu Shy naona Mods wam "ban" kuanzisha mada hapa..maana naona habari zake nyingi zina UTATA!!
 
Hakuna chombo chochote cha habari kinachothibitisha kifo cha Tabuley (nimetafuta sana kwenye mtandao). Huyu Shy naona Mods wam "ban" kuanzisha mada hapa..maana naona habari zake nyingi zina UTATA!!


Ni vema kwanza mumjue ana tabia gani, mazingira yake, shughuli yake inayompatia riziki ya kila siku kama kweli anaridhika na je ana stress yoyote? wasi m "ban" kwanza. hiyo ni hatua ya juu sana.
 
In regards to the fact that hii habari haina uthibitisho basi
naomba kuifunga hadi ukweli utakapojitokeza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom