Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Tabu ninayopata kutoka kwenye familia yangu

Chief

Kwanza pole Sana Kwa changamoto ulizopitia

Mosi, kama walivyosema baadhi ya wadau nadhan biashara ya huduma za afya ingekufaa Sana ukichukulia uzoefu ambao uliupata dar na ulifanikiwa Sana,hivyo hauanzi na kitu kipya.

Pili,nimependa wewe ni famili man,na ni Jambo zuri Sana la kuoa,na hata kama bahati mbaya huyu mke akizingua usiseme Sito oa tena,hapana ndoa ndio kila kitu,ndio tulizo la nafsi na ndio umbile tulilo umbiwa na Allah, Ila usiwe mpole Sana Kwa mkeo,hakikisha nidhamu ya nyumba inachukua mkondo wake la sivyo utapandwa kichwani,kumbuka wanawake ni watu WA ajabu Sana,anaweza sikia mwenzake anakoromewa na mumewe akajikuta anatamani kuwa na mwanaume mwenye mamlaka anayeweza kusimama kama mwanaume.

Mwisho, fanya biashara zote lkn ya magari ya abiria ni pasua kichwa Sana,kama ukitaka kuwa na stress basi fanya hiyo biashara Yani hata ukiwa kibonge hauhitaji kupunguza uzito Bali stress za kuyafuatilia ni dawa tosha ya kupunguza uzito, kifupi inahitaji usimamizi WA karibu Sana, nimewahi kuwa na uzoefu huo kupitia mradi WA familia,kwahiyo najua hizo changamoto vizuri Sana. Na hata ukifanya tafiti Kwa wenye biashara hizo kama watakuwa wakweli kwako watakwambia Hali halisi.

Wewe ni mpiganaji na Kikubwa huna Maisha ya anasa na starehe hivyo future nzuri inaonekana.

Kila la kheri.
Asante etugrul bey mtoto wa Suleiman shaa

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu ,lengo langu ni kuja kuacha kazi serikalini ili niweze kusimamia Mambo yangu ,kwa Sasa kwenye upande wa ufugaji wa kuku Niko vizuri ,siku nikifikisha mil 100 nitaacha kazi ,hivyo vitu nikivyoorodhesha hapo ni vingi lakini naanza na kimoja kimoja
Kule nilipotoka Nina nyumba 2 ,dodoma Nina kiwanja ,mwanza ninacho pia ,kile Cha dar yule mwanamke wa kwanza alichukua ,nasikia ameshakiuza

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Japokua una asili ya upambanaji ila hofu pia inakutawala mkuu,ili uache kazi serikalini hadi ufikishe 100million??hizo hela huwezi kuzipata hata baada yakua umestaafu nduguyangu,sema ww unahitaji upate pension ili ije ikusaidie kuendesha miradi yako uzeeni mwako ambapo naona wanaostaafu humu makazini kama mostly wanalalamika tu baada yakupokea mafao yao cjui ndio kikokotoo kinazingua cjui,ila kuchanga shillingi hadi kufikia millioni 100,kama muajiriwa waserikali idara ya afya ningumu,maana semina zenyewe za kibaguzi,hata madili ktk sekta ya afya zenye kukupatia hata laki kwa siku hizo dili hazipo mkuu.
 
Si muwe mnaandika kwanza huko watsapp ukija hapa ushushe mzigo mzima.. acheni upuuzi.
 
Tabu Ninayopata kutoka kwenye familia yangu -25

Tulivyorudi nyumbani nikamueleza baba mwanzo wa matatizo yote ,nikamwambia baba ngoja tu nitafute mwanamke mwingine nioe ,baba akaniambia ngoja ataongea nae

Basi baadae baba akamuita tukaanza kuongea basi akaonekana ameelewa ,baadae nikaingia ndani kunywa dawa akanipa dawa vizuri nikameza

Baadae akaniambia naomba uoe mwanamke mwingine ili akusaidie si unaona unaumwa , akaniambia kwani tokea nimekwambia hivi hujawahi kufanya maandalizi ya kutafuta mtu ,nikamwambia nilitafuta lakini bado hajanielewa ,basi akaniomba namba ya simu ya huyo Dada wakaongea kwamba ameruhusu Mimi nimuoe ,yeye atakuwa mke mkubwa halafu mwenga atakuwa mke mdogo

Baadae alivyomaliza kuongea nae akanisisitiza kwamba nihakikishe naoa ,kesho yake akawa ameondoka kurudi kazini

Baadae Mimi nikamwambia baba uyu mwanamke naona hanitaki Tena ,basi yule mke wangu alikuwa anakaa na mtoto wa shangazi yake ,Sasa uyo binti akanipigia simu akaniambia yule Dada yake siku hizi anamtu waga anakuja kulala pale nyumbani aise niliumia sana

Basi baadae baba aliondoka Mimi nikabaki pale na braza na wale watoto wa Dada yangu ,baadae nikafanya process ya kumuoa yule mwanamke ,niliona nichague mtu ambae hajasoma

Bado ndoa changa nikapata uhamisho wa kuhamia wilaya ingine uhamisho kutoka kwa RAs ,basi mke wangu alivyosikia nimeoa ndio ikawa tiketi ya kuniacha

Akawaambia kwao kwamba amenikuta nimeshaoa ndio maana ameamua kuniacha ,kumbe ile kunilazimisha kuoa alitaka apate sababu ya kuniacha

Unajua Kuna kipindi kaka yangu mtoto wa mama mkubwa alijiua kwa sababu mke wake ambae alizaa nae watoto wawili alimkataa ,japo nilikuwa nahuzunika lakini nilikuwa nishangaa ni kwa Nini braza ajiue wakati wanawake wapo wengi


Aise usiombe ikakukuta yaani hauoni another option Zaid ya hiyo ya kujiua ,

Yule mwanamke niliemuoa alikuwa single mother wa watoto watatu ,nae sijui alikuwa na mental trauma alikuwa ni mkorofi sana anapenda kugombana yaani ukimkosea kidogo tayari makofi
Sasa nikaona uyu tunaweza Kuna kuumizana tulibahatika kupata nae mtoto mmoja wa kike ,lakini baadae ilibid niachane nae

Mwaka huu nimeoa mke mwingine naomba mungu sana anijaalie nidumu na uyu,

Baadae yule mke wangu wa kwanza alinitafuta na kuniomba msamaha ilikuwa bado sijaoa uyu wa tatu lakini nikaona haina haja ya kuwa na mtu asie na msimamo

Ndio maana nikaona nioe tu mtu mwingine

Sasa tabu ninazopata kutoka kwenye familia yangu ni ;-

1 wazazi na ndugu hawaniongelei vizuri pindi ninapo oa ,mke wa kwanza waliongea Mambo mengi sana hasa mama

2-hata ukitoa msaada hawathamini siku ukiombwa na ukawa huna basi ni maneno mabaya mabaya wanakuongelea

3- mama Sasa hivi ameshazeeka lakini bado anang'ang'ania kufanya zile shughuli za uvuvi Kila siku ni kupoteza pesa ,anahitaji nimnunulie mashine lakini Mimi naona ameshachoka halafu Kuna wadogo zangu wapo chuo nikinunua hiyo mashine nitashindwa kuwasapoti

4 - nimeoa mke wa tatu ,mama alitoa maneno mabaya sana but Sina Cha kufanya Zaid ya kumshukuru mungu

Kule nilipohamishwa nilitengeneza mazingira mazuri sana lengo langu ni kufungua kampuni
Ambayo itakuwa ina deals with

1 .Agroproduction (kilimo na ufugaji )
Yaani na Lima nafuga pia nakuwa na mashine za kusanga na kukoboa halafu nafunga kwenye viroba nauza

2.viwanda vidogo vidogo kama mikate na mashine ya kuprocesa ngozi

3.usagirishaji (magari ya abiria

4.duka la dawa , zahanati na maabara

5.maduka ya jumla

6 .magari ya mizigo

Naamini nitafanikiwa kwa sababu naona kabis siwezi kubadili maisha yangu kwa kazi za kuajiriwa Tena humu serikalini kulivyo na changamoto

Ndio hivyo ndugu zangu ,naombeni ushauri wenu nifanye Nini ili niweze kufikia malengo yangu

Dunia tunayoenda nayo ni ngumu sana

Mwisho



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Story was 98% real, kwa story hii ungefanya uandishi wa kitabu humo ungeelezea kwa kirefu kila tukio kwa namna fulani ungesaidia baadhi ya maeneo yenye changamoto. Kwa sababu kuna makosa watu hurudia na nimeona kuna majibu mengi sana kuanzia kijamii, taaluma, maeneo ya kazi ndoa na familia kwa ujumla wake nk.

Mbili usifanye shughuli nyingi kwa wakati mmoja anza na moja moja hasa huwa tunasema " Anza na ulichonacho kutafuta usichonacho" una unataaluma itumie ki biashara... then mengine yatafuata. Ubarikiwe sana. Naamini utakuwa kwenye late 30s or early 40s pambana
 
Tabu Ninayopata kutoka kwenye familia yangu -25

Tulivyorudi nyumbani nikamueleza baba mwanzo wa matatizo yote ,nikamwambia baba ngoja tu nitafute mwanamke mwingine nioe ,baba akaniambia ngoja ataongea nae

Basi baadae baba akamuita tukaanza kuongea basi akaonekana ameelewa ,baadae nikaingia ndani kunywa dawa akanipa dawa vizuri nikameza

Baadae akaniambia naomba uoe mwanamke mwingine ili akusaidie si unaona unaumwa , akaniambia kwani tokea nimekwambia hivi hujawahi kufanya maandalizi ya kutafuta mtu ,nikamwambia nilitafuta lakini bado hajanielewa ,basi akaniomba namba ya simu ya huyo Dada wakaongea kwamba ameruhusu Mimi nimuoe ,yeye atakuwa mke mkubwa halafu mwenga atakuwa mke mdogo

Baadae alivyomaliza kuongea nae akanisisitiza kwamba nihakikishe naoa ,kesho yake akawa ameondoka kurudi kazini

Baadae Mimi nikamwambia baba uyu mwanamke naona hanitaki Tena ,basi yule mke wangu alikuwa anakaa na mtoto wa shangazi yake ,Sasa uyo binti akanipigia simu akaniambia yule Dada yake siku hizi anamtu waga anakuja kulala pale nyumbani aise niliumia sana

Basi baadae baba aliondoka Mimi nikabaki pale na braza na wale watoto wa Dada yangu ,baadae nikafanya process ya kumuoa yule mwanamke ,niliona nichague mtu ambae hajasoma

Bado ndoa changa nikapata uhamisho wa kuhamia wilaya ingine uhamisho kutoka kwa RAs ,basi mke wangu alivyosikia nimeoa ndio ikawa tiketi ya kuniacha

Akawaambia kwao kwamba amenikuta nimeshaoa ndio maana ameamua kuniacha ,kumbe ile kunilazimisha kuoa alitaka apate sababu ya kuniacha

Unajua Kuna kipindi kaka yangu mtoto wa mama mkubwa alijiua kwa sababu mke wake ambae alizaa nae watoto wawili alimkataa ,japo nilikuwa nahuzunika lakini nilikuwa nishangaa ni kwa Nini braza ajiue wakati wanawake wapo wengi


Aise usiombe ikakukuta yaani hauoni another option Zaid ya hiyo ya kujiua ,

Yule mwanamke niliemuoa alikuwa single mother wa watoto watatu ,nae sijui alikuwa na mental trauma alikuwa ni mkorofi sana anapenda kugombana yaani ukimkosea kidogo tayari makofi
Sasa nikaona uyu tunaweza Kuna kuumizana tulibahatika kupata nae mtoto mmoja wa kike ,lakini baadae ilibid niachane nae

Mwaka huu nimeoa mke mwingine naomba mungu sana anijaalie nidumu na uyu,

Baadae yule mke wangu wa kwanza alinitafuta na kuniomba msamaha ilikuwa bado sijaoa uyu wa tatu lakini nikaona haina haja ya kuwa na mtu asie na msimamo

Ndio maana nikaona nioe tu mtu mwingine

Sasa tabu ninazopata kutoka kwenye familia yangu ni ;-

1 wazazi na ndugu hawaniongelei vizuri pindi ninapo oa ,mke wa kwanza waliongea Mambo mengi sana hasa mama

2-hata ukitoa msaada hawathamini siku ukiombwa na ukawa huna basi ni maneno mabaya mabaya wanakuongelea

3- mama Sasa hivi ameshazeeka lakini bado anang'ang'ania kufanya zile shughuli za uvuvi Kila siku ni kupoteza pesa ,anahitaji nimnunulie mashine lakini Mimi naona ameshachoka halafu Kuna wadogo zangu wapo chuo nikinunua hiyo mashine nitashindwa kuwasapoti

4 - nimeoa mke wa tatu ,mama alitoa maneno mabaya sana but Sina Cha kufanya Zaid ya kumshukuru mungu

Kule nilipohamishwa nilitengeneza mazingira mazuri sana lengo langu ni kufungua kampuni
Ambayo itakuwa ina deals with

1 .Agroproduction (kilimo na ufugaji )
Yaani na Lima nafuga pia nakuwa na mashine za kusanga na kukoboa halafu nafunga kwenye viroba nauza

2.viwanda vidogo vidogo kama mikate na mashine ya kuprocesa ngozi

3.usagirishaji (magari ya abiria

4.duka la dawa , zahanati na maabara

5.maduka ya jumla

6 .magari ya mizigo

Naamini nitafanikiwa kwa sababu naona kabis siwezi kubadili maisha yangu kwa kazi za kuajiriwa Tena humu serikalini kulivyo na changamoto

Ndio hivyo ndugu zangu ,naombeni ushauri wenu nifanye Nini ili niweze kufikia malengo yangu

Dunia tunayoenda nayo ni ngumu sana

Mwisho



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kufikia kwenye malengo ni kukomaa tuu,ila shida yako inaonesha huwa unakurupuka kwenye maamuzi,haiwezekan mtu unaejitambua ukaoe single maza wa watoto watatu,huwezi kujiuliza hao watoto wote aliwapataje??hatua ya kwanza ni kuangalia unapokosea basi uparekebishe,,

Waswahili wanasema kukosea n wakati wa kwenda tuu.
 
Tabu Ninayopata kutoka kwenye familia yangu -25

Tulivyorudi nyumbani nikamueleza baba mwanzo wa matatizo yote ,nikamwambia baba ngoja tu nitafute mwanamke mwingine nioe ,baba akaniambia ngoja ataongea nae

Basi baadae baba akamuita tukaanza kuongea basi akaonekana ameelewa ,baadae nikaingia ndani kunywa dawa akanipa dawa vizuri nikameza

Baadae akaniambia naomba uoe mwanamke mwingine ili akusaidie si unaona unaumwa , akaniambia kwani tokea nimekwambia hivi hujawahi kufanya maandalizi ya kutafuta mtu ,nikamwambia nilitafuta lakini bado hajanielewa ,basi akaniomba namba ya simu ya huyo Dada wakaongea kwamba ameruhusu Mimi nimuoe ,yeye atakuwa mke mkubwa halafu mwenga atakuwa mke mdogo

Baadae alivyomaliza kuongea nae akanisisitiza kwamba nihakikishe naoa ,kesho yake akawa ameondoka kurudi kazini

Baadae Mimi nikamwambia baba uyu mwanamke naona hanitaki Tena ,basi yule mke wangu alikuwa anakaa na mtoto wa shangazi yake ,Sasa uyo binti akanipigia simu akaniambia yule Dada yake siku hizi anamtu waga anakuja kulala pale nyumbani aise niliumia sana

Basi baadae baba aliondoka Mimi nikabaki pale na braza na wale watoto wa Dada yangu ,baadae nikafanya process ya kumuoa yule mwanamke ,niliona nichague mtu ambae hajasoma

Bado ndoa changa nikapata uhamisho wa kuhamia wilaya ingine uhamisho kutoka kwa RAs ,basi mke wangu alivyosikia nimeoa ndio ikawa tiketi ya kuniacha

Akawaambia kwao kwamba amenikuta nimeshaoa ndio maana ameamua kuniacha ,kumbe ile kunilazimisha kuoa alitaka apate sababu ya kuniacha

Unajua Kuna kipindi kaka yangu mtoto wa mama mkubwa alijiua kwa sababu mke wake ambae alizaa nae watoto wawili alimkataa ,japo nilikuwa nahuzunika lakini nilikuwa nishangaa ni kwa Nini braza ajiue wakati wanawake wapo wengi


Aise usiombe ikakukuta yaani hauoni another option Zaid ya hiyo ya kujiua ,

Yule mwanamke niliemuoa alikuwa single mother wa watoto watatu ,nae sijui alikuwa na mental trauma alikuwa ni mkorofi sana anapenda kugombana yaani ukimkosea kidogo tayari makofi
Sasa nikaona uyu tunaweza Kuna kuumizana tulibahatika kupata nae mtoto mmoja wa kike ,lakini baadae ilibid niachane nae

Mwaka huu nimeoa mke mwingine naomba mungu sana anijaalie nidumu na uyu,

Baadae yule mke wangu wa kwanza alinitafuta na kuniomba msamaha ilikuwa bado sijaoa uyu wa tatu lakini nikaona haina haja ya kuwa na mtu asie na msimamo

Ndio maana nikaona nioe tu mtu mwingine

Sasa tabu ninazopata kutoka kwenye familia yangu ni ;-

1 wazazi na ndugu hawaniongelei vizuri pindi ninapo oa ,mke wa kwanza waliongea Mambo mengi sana hasa mama

2-hata ukitoa msaada hawathamini siku ukiombwa na ukawa huna basi ni maneno mabaya mabaya wanakuongelea

3- mama Sasa hivi ameshazeeka lakini bado anang'ang'ania kufanya zile shughuli za uvuvi Kila siku ni kupoteza pesa ,anahitaji nimnunulie mashine lakini Mimi naona ameshachoka halafu Kuna wadogo zangu wapo chuo nikinunua hiyo mashine nitashindwa kuwasapoti

4 - nimeoa mke wa tatu ,mama alitoa maneno mabaya sana but Sina Cha kufanya Zaid ya kumshukuru mungu

Kule nilipohamishwa nilitengeneza mazingira mazuri sana lengo langu ni kufungua kampuni
Ambayo itakuwa ina deals with

1 .Agroproduction (kilimo na ufugaji )
Yaani na Lima nafuga pia nakuwa na mashine za kusanga na kukoboa halafu nafunga kwenye viroba nauza

2.viwanda vidogo vidogo kama mikate na mashine ya kuprocesa ngozi

3.usagirishaji (magari ya abiria

4.duka la dawa , zahanati na maabara

5.maduka ya jumla

6 .magari ya mizigo

Naamini nitafanikiwa kwa sababu naona kabis siwezi kubadili maisha yangu kwa kazi za kuajiriwa Tena humu serikalini kulivyo na changamoto

Ndio hivyo ndugu zangu ,naombeni ushauri wenu nifanye Nini ili niweze kufikia malengo yangu

Dunia tunayoenda nayo ni ngumu sana

Mwisho



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Sijue nikupe pole ama hongera ama vyote!

Hivi kwanini unamlaumu mama na mkeo wakati wewe ndio umekuwa msaliti wa hiyo ndoaTangu ukiwa mbezi? Yaani Tangu umekutana na yule mdogo wa nessi na wengineo ispokuwa mkeo ulipata nuksi.

Kutengeneza inatakiwa uanzie hapo.
 
Japokua una asili ya upambanaji ila hofu pia inakutawala mkuu,ili uache kazi serikalini hadi ufikishe 100million??hizo hela huwezi kuzipata hata baada yakua umestaafu nduguyangu,sema ww unahitaji upate pension ili ije ikusaidie kuendesha miradi yako uzeeni mwako ambapo naona wanaostaafu humu makazini kama mostly wanalalamika tu baada yakupokea mafao yao cjui ndio kikokotoo kinazingua cjui,ila kuchanga shillingi hadi kufikia millioni 100,kama muajiriwa waserikali idara ya afya ningumu,maana semina zenyewe za kibaguzi,hata madili ktk sekta ya afya zenye kukupatia hata laki kwa siku hizo dili hazipo mkuu.
Ni kweli mkuu Nina hofu sana ,mil 100 sio nyingi nilishawahi kumiliki mpaka mil 40 ,nilifanya uwekezaji mkubwa sana kule nilipohamishwa ,mradi ulikuwa bado hujaanza kuingiza fedha nikaamishwa ,kule nilimuacha braza asimamie ila baada ya muda mfupi mradi ulikufa ,sehemu niliyopelekwa ni mbali na ile niliyokuwepo yaani kufika unapanda gali karibia tatu ,sehemu nilipo Sasa ni karibia na arusha sehemu niliyokuwepo mwanzo ni karibia na mbeya ,nauli ya kufika huko unatumia karibia elfu hamsini

Unaweza kusema kwa Nini sikuacha kazi wakati nilishamiliki Zaid ya mil 40 ,ni kwamba unapofanya investment usitegemee any return angalau ndani ya mwaka mmoja ,Sasa happy unabidi uendelee na kazi ili maisha ya songe

Kwenye secta ya afya Kuna madili mengi aise na iko ndio kinachonikarisha sema sitaki kuishi hiv siku zote

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Story was 98% real, kwa story hii ungefanya uandishi wa kitabu humo ungeelezea kwa kirefu kila tukio kwa namna fulani ungesaidia baadhi ya maeneo yenye changamoto. Kwa sababu kuna makosa watu hurudia na nimeona kuna majibu mengi sana kuanzia kijamii, taaluma, maeneo ya kazi ndoa na familia kwa ujumla wake nk.

Mbili usifanye shughuli nyingi kwa wakati mmoja anza na moja moja hasa huwa tunasema " Anza na ulichonacho kutafuta usichonacho" una unataaluma itumie ki biashara... then mengine yatafuata. Ubarikiwe sana. Naamini utakuwa kwenye late 30s or early 40s pambana
Hizo shughuli ni long term plan Sasa hivi nimeanza na kilimo na ufugaji ,vikashasimama vizuri naenda kingine ,kuwa na chanzo kimoja Cha mapato ni hatari sana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Sijue nikupe pole ama hongera ama vyote!

Hivi kwanini unamlaumu mama na mkeo wakati wewe ndio umekuwa msaliti wa hiyo ndoaTangu ukiwa mbezi? Yaani Tangu umekutana na yule mdogo wa nessi na wengineo ispokuwa mkeo ulipata nuksi.

Kutengeneza inatakiwa uanzie hapo.
Tulikuwa tunaweza kukaa hata miez 8 hatujaonana na mke wangu ,yaani usipo angalia unaweza kubaka eti

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu Nina hofu sana ,mil 100 sio nyingi nilishawahi kumiliki mpaka mil 40 ,nilifanya uwekezaji mkubwa sana kule nilipohamishwa ,mradi ulikuwa bado hujaanza kuingiza fedha nikaamishwa ,kule nilimuacha braza asimamie ila baada ya muda mfupi mradi ulikufa ,sehemu niliyopelekwa ni mbali na ile niliyokuwepo yaani kufika unapanda gali karibia tatu ,sehemu nilipo Sasa ni karibia na arusha sehemu niliyokuwepo mwanzo ni karibia na mbeya ,nauli ya kufika huko unatumia karibia elfu hamsini

Unaweza kusema kwa Nini sikuacha kazi wakati nilishamiliki Zaid ya mil 40 ,ni kwamba unapofanya investment usitegemee any return angalau ndani ya mwaka mmoja ,Sasa happy unabidi uendelee na kazi ili maisha ya songe

Kwenye secta ya afya Kuna madili mengi aise na iko ndio kinachonikarisha sema sitaki kuishi hiv siku zote

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwenye local gvnt ukiendelea au kuonesha dalili zakupiga hatua kiuchumi wanakuamishanakukupiga majungu lengo nikukufelisha ktk harakati zako ambazo mostly zinategemea uwepo wako ktk eneo hilo, scenarios zako zinafanan nawengi sana watumishi waumma kuhamishwa ikiwemo mm,unahamishwa kwa kokomoloewa huku wakikuandikia barua yakwenda kuboresha huduma,nikisanga sana kutoboa ktk mazingira yenye chuki na vifungo kama hivi.niliwahi kuhamishwa kipindi ambacho ninamazao shambani ya ufuta hekari 30,nililia kama mtoto mdogo wanakutime kipindi ambacho unapata dillema ktk kufanya maamuzi,nahawakulipi hela za uhamisho nastahiki zako zingine.inshort wanakufrustrate tu mkuu.ila kama wachangiaji wengi humu wanavyokushauru right kama ungekua jasiri kiasi flani ungejikita ktk biashara za tiba au maabara au pharmacy,sema wajinga sana CO hawaruhusu kufungua duka ladawa hadi uwe na Cheti cha ADDo ambayo hivi sasa nayo imefungiwa,halafu ningumu sana kumuweka mtu akawajibika ktk biashara yako kama ambavyo ungewajibika ukiwepo wewe mwenyewe.nahapo ndio maana ulipokia dar mwenyewe uliweza kuisimamia biashara ikakua.
 
Kufikia kwenye malengo ni kukomaa tuu,ila shida yako inaonesha huwa unakurupuka kwenye maamuzi,haiwezekan mtu unaejitambua ukaoe single maza wa watoto watatu,huwezi kujiuliza hao watoto wote aliwapataje??hatua ya kwanza ni kuangalia unapokosea basi uparekebishe,,

Waswahili wanasema kukosea n wakati wa kwenda tuu.
Ilikuwa ni njia ya kuponyesha jelaha langu la kuachwa na pia ku recover from mental illnesses ,ilinisaidia sana aise , tofauti na hapo suicide was my only option

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tulikuwa tunaweza kukaa hata miez 8 hatujaonana na mke wangu ,yaani usipo angalia unaweza kubaka eti

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Na yeye alikuwa anaona poa kabisa hali akijua we ni mwanaume rijali?

Huyo nae anasehemu yake ya kutengeneza mana hata yeye alichangia. Maisha mazuri tunayataka wote ila na yenyewe huja na kivumbi chake. Sometimes ni bora ungebaki wa kawaida.

Mungu awakomboe walioangushwa na mafanikio yako waliyoyapigania usiku na mchana.
 
Kitu ambacho ninashukuru nimeweza kusimulia japo robo ya maisha yangu ,nilitaka nilete story kuanzia kwa baba yangu ,kama mnakumbuka nililetaga uzi unaitwa the legend burial lakini sik ufanikiwa kuumaliza ,nilitaka nianze kusimulia kuanzia kwa baba yangu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tabu Ninayopata kutoka kwenye familia yangu -25

Tulivyorudi nyumbani nikamueleza baba mwanzo wa matatizo yote ,nikamwambia baba ngoja tu nitafute mwanamke mwingine nioe ,baba akaniambia ngoja ataongea nae

Basi baadae baba akamuita tukaanza kuongea basi akaonekana ameelewa ,baadae nikaingia ndani kunywa dawa akanipa dawa vizuri nikameza

Baadae akaniambia naomba uoe mwanamke mwingine ili akusaidie si unaona unaumwa , akaniambia kwani tokea nimekwambia hivi hujawahi kufanya maandalizi ya kutafuta mtu ,nikamwambia nilitafuta lakini bado hajanielewa ,basi akaniomba namba ya simu ya huyo Dada wakaongea kwamba ameruhusu Mimi nimuoe ,yeye atakuwa mke mkubwa halafu mwenga atakuwa mke mdogo

Baadae alivyomaliza kuongea nae akanisisitiza kwamba nihakikishe naoa ,kesho yake akawa ameondoka kurudi kazini

Baadae Mimi nikamwambia baba uyu mwanamke naona hanitaki Tena ,basi yule mke wangu alikuwa anakaa na mtoto wa shangazi yake ,Sasa uyo binti akanipigia simu akaniambia yule Dada yake siku hizi anamtu waga anakuja kulala pale nyumbani aise niliumia sana

Basi baadae baba aliondoka Mimi nikabaki pale na braza na wale watoto wa Dada yangu ,baadae nikafanya process ya kumuoa yule mwanamke ,niliona nichague mtu ambae hajasoma

Bado ndoa changa nikapata uhamisho wa kuhamia wilaya ingine uhamisho kutoka kwa RAs ,basi mke wangu alivyosikia nimeoa ndio ikawa tiketi ya kuniacha

Akawaambia kwao kwamba amenikuta nimeshaoa ndio maana ameamua kuniacha ,kumbe ile kunilazimisha kuoa alitaka apate sababu ya kuniacha

Unajua Kuna kipindi kaka yangu mtoto wa mama mkubwa alijiua kwa sababu mke wake ambae alizaa nae watoto wawili alimkataa ,japo nilikuwa nahuzunika lakini nilikuwa nishangaa ni kwa Nini braza ajiue wakati wanawake wapo wengi


Aise usiombe ikakukuta yaani hauoni another option Zaid ya hiyo ya kujiua ,

Yule mwanamke niliemuoa alikuwa single mother wa watoto watatu ,nae sijui alikuwa na mental trauma alikuwa ni mkorofi sana anapenda kugombana yaani ukimkosea kidogo tayari makofi
Sasa nikaona uyu tunaweza Kuna kuumizana tulibahatika kupata nae mtoto mmoja wa kike ,lakini baadae ilibid niachane nae

Mwaka huu nimeoa mke mwingine naomba mungu sana anijaalie nidumu na uyu,

Baadae yule mke wangu wa kwanza alinitafuta na kuniomba msamaha ilikuwa bado sijaoa uyu wa tatu lakini nikaona haina haja ya kuwa na mtu asie na msimamo

Ndio maana nikaona nioe tu mtu mwingine

Sasa tabu ninazopata kutoka kwenye familia yangu ni ;-

1 wazazi na ndugu hawaniongelei vizuri pindi ninapo oa ,mke wa kwanza waliongea Mambo mengi sana hasa mama

2-hata ukitoa msaada hawathamini siku ukiombwa na ukawa huna basi ni maneno mabaya mabaya wanakuongelea

3- mama Sasa hivi ameshazeeka lakini bado anang'ang'ania kufanya zile shughuli za uvuvi Kila siku ni kupoteza pesa ,anahitaji nimnunulie mashine lakini Mimi naona ameshachoka halafu Kuna wadogo zangu wapo chuo nikinunua hiyo mashine nitashindwa kuwasapoti

4 - nimeoa mke wa tatu ,mama alitoa maneno mabaya sana but Sina Cha kufanya Zaid ya kumshukuru mungu

Kule nilipohamishwa nilitengeneza mazingira mazuri sana lengo langu ni kufungua kampuni
Ambayo itakuwa ina deals with

1 .Agroproduction (kilimo na ufugaji )
Yaani na Lima nafuga pia nakuwa na mashine za kusanga na kukoboa halafu nafunga kwenye viroba nauza

2.viwanda vidogo vidogo kama mikate na mashine ya kuprocesa ngozi

3.usagirishaji (magari ya abiria

4.duka la dawa , zahanati na maabara

5.maduka ya jumla

6 .magari ya mizigo

Naamini nitafanikiwa kwa sababu naona kabis siwezi kubadili maisha yangu kwa kazi za kuajiriwa Tena humu serikalini kulivyo na changamoto

Ndio hivyo ndugu zangu ,naombeni ushauri wenu nifanye Nini ili niweze kufikia malengo yangu

Dunia tunayoenda nayo ni ngumu sana

Mwisho



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kwa jinsi unavyoandika utakuwa na matatizo makubwa wewe sio doctor Wala nini
 
Hizo shughuli ni long term plan Sasa hivi nimeanza na kilimo na ufugaji ,vikashasimama vizuri naenda kingine ,kuwa na chanzo kimoja Cha mapato ni hatari sana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nadhani huitaji ushauri (ulishaanza) ila tunashukuru kutushirikisha sehemu fulani ya safari yako ya maisha. Negativity in families its normal huna haja ya kuamini unateswa na familia yako ila uiangalie kwa jicho la kuhitaji msaada zaidi na sio lazima uwe wa kifedha pekee but... mentally, spritually and psychologically. Kuna shida ya uelewa mdogo kwenye jamii yetu wengi kiwango cha elimu na exposure ni ndogo sana. Wanaamini msaada ni haki badala hiyari. So tunaenda nao mdogo mdogo tu.
 
Nadhani huitaji ushauri (ulishaanza) ila tunashukuru kutushirikisha sehemu fulani ya safari yako ya maisha. Negativity in families its normal huna haja ya kuamini unateswa na familia yako ila uiangalie kwa jicho la kuhitaji msaada zaidi na sio lazima uwe wa kifedha pekee but... mentally, spritually and psychologically. Kuna shida ya uelewa mdogo kwenye jamii yetu wengi kiwango cha elimu na exposure ni ndogo sana. Wanaamini msaada ni haki badala hiyari. So tunaenda nao mdogo mdogo tu.
Ok thanks

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom