Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
You are above moronic shubaaamit!You're too Moronic to grasp this Thread.
Live your life mkuu, mambo mengine yatakupotezea muda. Kwa nini unaweka kichwani mambo ambayo hayana msingi na hayana nafasi ya kujadiliwa humu. Next time njoo na facts na sio kujadili watu, kwa maana small minds discuss people.Moja wapo ya Kanuni za Utangazaji hasa wa Runinga ni Mtangazaji Kuuvaa Uhusika hasa wa Jambo fulani unalolitangaza ili Hadhira nayo ikuelewe.
Tuko katika Kipindi cha Majonzi cha Kushangaza Mtangazaji huyu Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 hayupo Kimsiba Msiba na Yeye muda wote tu ni Kufanya Mizaha isiyo ya lazima huku akidhani anapatia wakati kumbe ndiyo anaharibu zaidi.
Na sijui hii style ya Kutangaza kwa Kuongea haraka haraka huku akiwa anahema kama vile anakimbizwa na Mbwa Mwitu ameitoa wapi.
Enyi Clouds Tv jitahidini sana Kuiga jinsi ya Utangazaji wa Live Coverages kutoka katika Media kama za Citizen Tv ( Kenya), ITV Tanzania) na hata TBC1 (Tanzania) na mkiweza tafuteni Mtangazaji anayeendana na hili na siyo kama afanyavyo huyu Sam Sasali tafadhali.
Mwisho nimeangalia Utangazaji wa karibia Tv Local Channels zote nimeona karibia nyingi Kipindi hiki cha Maombolezo hazifanyi Mizaha na hata Nyuso tu za Watangazaji wao zinajielezea, ila kwa Clouds Tv naona Mizaha Mizaha ni Mingi, Upuuzi nyakati fulani na Utoto kwa baadhi ya Watangazaji wao.
Najua hapa JF kuna Wabobezi wa Masuala ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano hivyo naamini mtanisaidia Kujua aina hii ya Utangazaji wa huyu Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 hasa katika ( Live Coverages ) na Utangazaji wa Kiujumla wa Clouds Tv hasa katika Kipindi hiki cha Majonzi ya Kumpoteza aliyekuwa Rais wetu Mpendwa Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Unamwaga ugali wa mchizi. Sijui ana muda gani pale lkn hiyo ni credit mby walau ungemwendea DM
Ndo maana halisi ya popomaMkuu jamaa anakuunga mkono lakini unamkashifu!
Sasali anamhubiri Yesu zaidi ndiyo maana huwezi muelewa.Moja wapo ya Kanuni za Utangazaji hasa wa Runinga ni Mtangazaji Kuuvaa Uhusika hasa wa Jambo fulani unalolitangaza ili Hadhira nayo ikuelewe.
Tuko katika Kipindi cha Majonzi cha Kushangaza Mtangazaji huyu Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 hayupo Kimsiba Msiba na Yeye muda wote tu ni Kufanya Mizaha isiyo ya lazima huku akidhani anapatia wakati kumbe ndiyo anaharibu zaidi.
Na sijui hii style ya Kutangaza kwa Kuongea haraka haraka huku akiwa anahema kama vile anakimbizwa na Mbwa Mwitu ameitoa wapi.
Enyi Clouds Tv jitahidini sana Kuiga jinsi ya Utangazaji wa Live Coverages kutoka katika Media kama za Citizen Tv ( Kenya), ITV Tanzania) na hata TBC1 (Tanzania) na mkiweza tafuteni Mtangazaji anayeendana na hili na siyo kama afanyavyo huyu Sam Sasali tafadhali.
Mwisho nimeangalia Utangazaji wa karibia Tv Local Channels zote nimeona karibia nyingi Kipindi hiki cha Maombolezo hazifanyi Mizaha na hata Nyuso tu za Watangazaji wao zinajielezea, ila kwa Clouds Tv naona Mizaha Mizaha ni Mingi, Upuuzi nyakati fulani na Utoto kwa baadhi ya Watangazaji wao.
Najua hapa JF kuna Wabobezi wa Masuala ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano hivyo naamini mtanisaidia Kujua aina hii ya Utangazaji wa huyu Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 hasa katika ( Live Coverages ) na Utangazaji wa Kiujumla wa Clouds Tv hasa katika Kipindi hiki cha Majonzi ya Kumpoteza aliyekuwa Rais wetu Mpendwa Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Hahaa
Ndo kawaida yake huyu Popoma...mbna kama mwenye uzi anafokea wachangiaji!?...
Huyo chizi hana hadhi ya kujadiliwa humu.
Kasomea Procurement kumbe? Mbona hatumii taaluma yake sasa..? Enewei mimi mwenyewe nimesoma hiyo hiyo ila nauza chakula na nafaka na matunda dah maisha haya[emoji25][emoji25]Mtu wa procurement yule,mambo ya utangazaji kwake ni ujanja wa mjini tu.
Huwa wanatoa intern pale?Kaombe Intern pale Clouds kwa kipind hiki ili ukatangaze wewe kama TBC.
Hivi wakati wa kujiunga jf kulikuwa na Mitihani??Watu wa humu jamvini wajuaji sana, sijui ndio ugreat thinker.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unaonekana unachoamini unataka kila mtu aone uonavyo wewe,ila samahan mkuu tunatofautiana mitazamo tu.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasali anamhubiri Yesu zaidi ndiyo maana huwezi muelewa.
Mungu ambariki sana.
πππ maisha ndio yanatupangia direction mzee baba.Kasomea Procurement kumbe? Mbona hatumii taaluma yake sasa..? Enewei mimi mwenyewe nimesoma hiyo hiyo ila nauza chakula na nafaka na matunda dah maisha haya[emoji25][emoji25]
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app