Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Tafadhali Anne Makinda jihadhari kwani Pius Msekwa si saizi yako. Msekwa katumia usomi kusema akina Halima Mdee wamefutwa Ubunge

Hawa viongozi wastaafu wanatakiwa kuacha kiherehere, wakae kimya kwa sababu ulimwengu wa sasa kila mtu anajua vitu vingi.
Kuwataka wakae kimya wasitoe maoni ni udikteta na kuminya uhuru wa watu kutoa maoni.

Kwani tukiwakosoa kwa staha kuna ubaya gani?
 
Mkuu hapa ndipo wengi mnapokosea.
Mtu mzima hata kama kakosea kwa maoni yako, bado anastahili lugha ya staha siyo kama hii uliyo tumia hapo juu.

Unapojisifu na kujipa hadhi ya mwanajumuiya ya wasomi basi tumia hekima na busara za kisomi katika mijadala ya kisomi.

Umejenga hoja nyingi nzuri sana kutetea maoni yako lakini lugha hii ya vijiweni imekuangusha sana.

wenzenu huwa tunaiona akili mbovu ya mtu katka sentesi zake mbili au tatu za mwanzo.

kitendo cha kukataa mama makinda kushauri vyombo vya habari,tayari lilikuwa ni tatizo.
hawa wazee wamekuwa wakisifiwa sana wanapotoa kauli kama hizi na kuonekana mashujaa,kinyume chake huwa wanaonekana ni wazee waliochoka kufikiri,wanapalilia njia za watoto wao nk.

sasa subiri siku azungumze tofauti,huyu huyu atakuwa wa kwanza kutamka mzee akae kimya.
 
wenzenu huwa tunaiona akili mbovu ya mtu katka sentesi zake mbili au tatu za mwanzo.

kitendo cha kukataa mama makinda kushauri vyombo vya habari,tayari lilikuwa ni tatizo.
hawa wazee wamekuwa wakisifiwa sana wanapotoa kauli kama hizi na kuonekana mashujaa,kinyume chake huwa wanaonekana ni wazee waliochoka kufikiri,wanapalilia njia za watoto wao nk.

sasa subiri siku azungumze tofauti,huyu huyu atakuwa wa kwanza kutamka mzee akae kimya.
Kisha wenyewe wanadai uhuru wa kutoa maoni!!
 
Mh! Hii kali kweli kweli, amekufanya nini huyu mama mpaka unampiga spana nzito namna hii bila huruma?
Kwakuwa huyu Mama kachagua kukaa kimya bila kuandika chochote. Hivyo Historia haimkumbuki. Tatizo lake ni pale anapolazimisha Historia kutowakumbuka wenye Historia ktk Nchi hii. Sasa acha apigwe spana akili zimkae sawa.
 
Mh! Hii kali kweli kweli, amekufanya nini huyu mama mpaka unampiga spana nzito namna hii bila huruma?
Hawaihitaji huruma hawa waharibifu wa nchi hii!Atasemaje waandishi wamuache wakati ndiyo muda sahihi wa mzee kugawa urithi wake kimawazo kwa vijana wa taifa hili?
 
Mama Anne Makinda,

Nimeona leo mahali unasema vyombo vya habari vimuache Pius Msekwa kwani kalitumikia taifa kwa muda mrefu na sasa ni mstaafu.

Mama Makinda, Pius Msekwa hajastaafu kutumia haki yake ya kutoa maoni kama Katiba inavyomruhusu.

Tatizo siyo Msekwa, tatizo ni wewe hutaki Msekwa aseme kwamba akina Halima Mdee si wabunge tena tangu walipovuliwa uanachama.

Msekwa kanukuu ibara ya 71(1)(e) sasa wewe ulitaka awe kipofu kwa ibara hiyo.

Sasa mama Makinda ngoja nikufundishe mambo matatu inayoelekea huyajui.

Jambo la kwanza ni kwamba Pius Msekwa ndiye mtu pekee aliyebaki hai aliyeshiriki kamati ya kuiunda Katiba hii mwaka 1977.

Kumbuka Mwenyekiti wa kamati hiyo ni alikuwa hayati Thabit Kombo na katibu akawa ni huyu Msekwa.

Wewe ulikuwa wapi wakati huo maana historia haikutaji.

Hivyo Pius Msekwa ni mtunzi wa Katiba yetu bila kujali ni mbovu au nzuri.

Waandishi wanamfuata kwa sababu ni mtungaji wa hiyi Katiba hawakufuati wewe uliyepata uspika kwa kigezo cha Samwel Sitta kukosa jinsia ya Kike mwaka 2010.

Jambo la pili ni kwamba Pius Msekwa ndiye kiongozi pekee ndani ya CCM kuandika vitabu vingi na vinasomwa duniani kote.

Ndiye msomi pekee aliyeandika mengi kuhusu Bunge. Wewe huna article hata ya page moja kwenye gazeti lolote.

Jambo la tatu ni kwamba wiki juzi wakati Bunge hili linazinduliwa Pius Msekwa alialikwa kwenye semina ya wabunge na akatoa lecture nzuri.

Katika semina hiyo Spika Job Ndugai kawaambia kwamba wasiishie kumsikiliza Msekwa kwenye semina ile tu bali wachimbue vitabu vyake vilivyojazana kwenye library ya Bunge.

Jambo la nne ni kwamba kama unataka, japo huwezi, mwambie Pius Msekwa aache kuandika makala zake za "The Current Affairs" kila Alhamsi kwenye gazeti la Daily News.

Serekali inamtumia kila Alhamis kwenye Daily News halafu leo EATV wamemhoji unapiga kelele.

Hivyo kama wewe uliamua kuandika historia ya kukaa kimya basi acha dunia ya wasomi inayomheshimu Msekwa tumheshimu.

Msekwa ndiye mtu pekee ndani ya CCM anayeweza kuongea na wapinzani wakajibizana naye.

Cha muhimu ishauri CCM ipike vijana ma genious kama Nyerere alivyowapika hawa akina Msekwa na siyo hawa wa sasa hivi ambao wakiamka asubuhi wanatafuta tusifie lipi.
Makinda anategemea apewe teuzi.
Msekwa haelewi na hataki huo upuuzi
 
Huko sahihi na Ndugai aache kuinajisi katiba kwa kuwalinda kinyume na katiba na sheria, maana wakishauriana na jiwe utaona matokeo yake!
Mimi nazungumzia hii tabia ya kumsifia mtu pale anaposema jambo lenye kufurahisha watu fulani ila siku akiongea lisilo furahisha humtoa akili mtu huyo.
 
Hawezi kuja kajiaibisha mwenyewe na mihemiko yake juzi hapa ya vi uzi uzi kuponda cdm juzi baada ya tamko la kamati kuu kuwatimua yeye mwenyewe kajificha.
Amekuja. Ame-react.

Bila shaka atapandisha uzi ku-support, ku-oppose ama kuwa-neutral tu dhidi ya Hoja za mdogo wenu.
 
wenzenu huwa tunaiona akili mbovu ya mtu katka sentesi zake mbili au tatu za mwanzo.

kitendo cha kukataa mama makinda kushauri vyombo vya habari,tayari lilikuwa ni tatizo.
hawa wazee wamekuwa wakisifiwa sana wanapotoa kauli kama hizi na kuonekana mashujaa,kinyume chake huwa wanaonekana ni wazee waliochoka kufikiri,wanapalilia njia za watoto wao nk.

sasa subiri siku azungumze tofauti,huyu huyu atakuwa wa kwanza kutamka mzee akae kimya.
Mimi nafikiri kwa akili iliyosahihi, ikitokea Mzee Msekwa, mtu au kiongozi yeyote yule akatoa mawazo yake kwenye Jambo lolote ambalo linathibitika kuwa kinyume na ushauri aliotoa, kumkosoa ni halali, lakini kwa hili la wabunge was chadema Mzee Msekwa ameongea kwa reference ya katiba Kama ilivyo Sasa, utamkosoa kwa kutumia reference ipi?
 
Mimi nazungumzia hii tabia ya kumsifia mtu pale anaposema jambo lenye kufurahisha watu fulani ila siku akiongea lisilo furahisha humtoa akili mtu huyo.
Kunatofauti Kati ya kufurahisha na kuongea kitu sahihi.
 
Mama Anne Makinda,

Nimeona leo mahali unasema vyombo vya habari vimuache Pius Msekwa kwani kalitumikia taifa kwa muda mrefu na sasa ni mstaafu.

Mama Makinda, Pius Msekwa hajastaafu kutumia haki yake ya kutoa maoni kama Katiba inavyomruhusu.

Tatizo siyo Msekwa, tatizo ni wewe hutaki Msekwa aseme kwamba akina Halima Mdee si wabunge tena tangu walipovuliwa uanachama.

Msekwa kanukuu ibara ya 71(1)(e) sasa wewe ulitaka awe kipofu kwa ibara hiyo.

Sasa mama Makinda ngoja nikufundishe mambo matatu inayoelekea huyajui.

Jambo la kwanza ni kwamba Pius Msekwa ndiye mtu pekee aliyebaki hai aliyeshiriki kamati ya kuiunda Katiba hii mwaka 1977.

Kumbuka Mwenyekiti wa kamati hiyo ni alikuwa hayati Thabit Kombo na katibu akawa ni huyu Msekwa.

Wewe ulikuwa wapi wakati huo maana historia haikutaji.

Hivyo Pius Msekwa ni mtunzi wa Katiba yetu bila kujali ni mbovu au nzuri.

Waandishi wanamfuata kwa sababu ni mtungaji wa hiyi Katiba hawakufuati wewe uliyepata uspika kwa kigezo cha Samwel Sitta kukosa jinsia ya Kike mwaka 2010.

Jambo la pili ni kwamba Pius Msekwa ndiye kiongozi pekee ndani ya CCM kuandika vitabu vingi na vinasomwa duniani kote.

Ndiye msomi pekee aliyeandika mengi kuhusu Bunge. Wewe huna article hata ya page moja kwenye gazeti lolote.

Jambo la tatu ni kwamba wiki juzi wakati Bunge hili linazinduliwa Pius Msekwa alialikwa kwenye semina ya wabunge na akatoa lecture nzuri.

Katika semina hiyo Spika Job Ndugai kawaambia kwamba wasiishie kumsikiliza Msekwa kwenye semina ile tu bali wachimbue vitabu vyake vilivyojazana kwenye library ya Bunge.

Jambo la nne ni kwamba kama unataka, japo huwezi, mwambie Pius Msekwa aache kuandika makala zake za "The Current Affairs" kila Alhamsi kwenye gazeti la Daily News.

Serekali inamtumia kila Alhamis kwenye Daily News halafu leo EATV wamemhoji unapiga kelele.

Hivyo kama wewe uliamua kuandika historia ya kukaa kimya basi acha dunia ya wasomi inayomheshimu Msekwa tumheshimu.

Msekwa ndiye mtu pekee ndani ya CCM anayeweza kuongea na wapinzani wakajibizana naye.

Cha muhimu ishauri CCM ipike vijana ma genious kama Nyerere alivyowapika hawa akina Msekwa na siyo hawa wa sasa hivi ambao wakiamka asubuhi wanatafuta tusifie lipi.
Hana uwezo hata wa kulegeza gidamu za viatu vya Msekwa huyu mama
 
Back
Top Bottom