Elections 2010 Tafadhali Jaji Makame zungumza na wananchi mapema, kuondoa wasiwasi Please!

Elections 2010 Tafadhali Jaji Makame zungumza na wananchi mapema, kuondoa wasiwasi Please!

Tume ya Kikwete... What do u expect? A reliable source told me kwamba kuliko kumruhusu Slaa kwenda ikulu, ni bora wakabidhi nchi kwa jeshi ili wakae kwa amani!!

Ni upuuzi uliojengeka kwa watumishi wengi wa serikali kama tume ya uchaguzi kujiona wao ni vijakazi wa wale waliowateua kumbe wanafanya kazi kwa ajili ya Watanzania wote. Kwani wakifanya kazi vizuri nani atawatoa? Unatakiwa kujiamini katika kazi yako na kutenda haki hata akiingia mtu mwingine wananchi tutasema tu.

TUME YA UCHAGUZI PLEEEEEESE TUNATAKA AMANI. TANGAZA MATOKEO NO MATTER YAKO VIPI MTAPATA HESHIMA DUNIANI NA MBINGUNI MTAHESABIWA THAWABU
 
Sasa hivi Tandale vijana wamegoma kabisa kutoka kwenye maeneo hayo ya vituo wanataka matokeo.. na kwenye baadhi ya maeneo ya Dar.. kuongezeka kwa magari ya kijeshi kunaanza kujaza watu wasiwasi...
 
Hapana.. matokeo ya Ubunge karibu yote yatajulikana leo.. ya Rais kwa uhakika yatakuwa tayari ifikapo Jumanne! NImeshangaa tume inatumia teknolojia kwenye kuhesabu kitaifa (which they could just use a calculator) na hawakutumia teknolojia kukusanya matokeo.

okay, we'll see
 
Tume mbona watakuwa Ikulu wakishauriana na JK namna ya kumanuva
 
Haya matokeo sitashangaa yakichelewa kwa wiki nzima.

Ni kweli kabisa maana unapangwa mkakati mkubwa wa kuchakachua ili Mkwere asiadhirike. Na hawa NEC walitamba kwamba matokeo ya Urais yatatangazwa baada ya siku moja tu. Sasa wamepata kigugumizi.
 
Hapa ndipo tume yetu inapobidi itumie busara!!! Kukaa kimya wakati kuna majimbo ambayo yamekwishatoa matokeo ni kuleta hisia mbaya!!
Wanapaswa kutangaza kadri majibu yanavyowafikia ili kuleta imani juu ya tume!!

Kazi ya Tume ni kutangaza matokeo ya Uraisi tu mengineyo na kazi za wasimamizi wa majimbo.................uzuri safari hii majimboni matokeo ya Uraisi yanafahamika kwa hiyo hizo hisia za NEC kuchakachua siyo za kweli.........................
 
Nadhani itabidi Dr. Slaa aitishe mkutano wa waandishi wa habari azungumze. Maana ni muhimu wananchi wakawa na mtu wa kuwaelekeza saa muhimu kama hizi. Tume ingekuwa HURU ingelikuwa inazungumza, kuelezea kwa nini matokea ya Urais hayatangazwi sasa mkoa kwa mkoa.

Kuwawekea wananchi FFU peke yake hakutaleta amani. Kutaweza kuleta hatari kubwa.
 
Ni kweli kabisa maana unapangwa mkakati mkubwa wa kuchakachua ili Mkwere asiadhirike. Na hawa NEC walitamba kwamba matokeo ya Urais yatatangazwa baada ya siku moja tu. Sasa wamepata kigugumizi.

tutaona kama hiyo kesho yatatangazwa ila mimi nina shaka
 
hawa tume ya uchaguzi-nec naona ni majuha watupu!!!!.
kiravu what are you waiting to announce the partial results as you promised wananchi???????????????

kiravu tunamwambia kuwa kama nchi hii itaingia kwenye vurugu za namna yoyote kwasababu ya uchelewesho wa matokeo yeye na ccm ndiyo watakao beba lawama zote.

kiravu ujue kuwa kwa sasa watu wanajua kabisa matokeo yako tayari ila wewe kwa maelekezo ya aliyekuteua bwana kiwete hutaki mkutangaza matokeo ili kuinusuru ccm.

na yawezekana kwa sasa mnafana mikakati ya kuchezea figures(kunyumbulisha namba) ili ccm waonekana wameshinda kwa kishindo. It is too late to catch the plane!.

kiravuuuuuuuuuuu tangaza matokeo tujue moja!!!!!
kama utafanya kazi yako kwa uaminifu hata dr. Slaa ataweza kukupa hata ukuu wa wilaya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Pia Lewis atuambie imekuaje karatasi za kupigia kura hasa za wabunge zipungue wakati idadi ya wapiga kura ilikuwa inajulikana? Wakimaliza tu uchaguzi huu tume nzima ijiuzulu.
 
wadau naombeni kuuliza swali,ivi ktkku summarizr or ku total kura especially za uaisi tka sehemu mbali mbali za nchi je wanaohusika ni kina nani?niuyo jaji makame na kiravi au?je interatonal observer hapa hawaruhusiwi kuwepo?na je wawakilishi wa vyama vinine hawaruhusiwi kuwepoo ,ebu tusaidiane wengine wachanga kt haya mambo
 
Walikuwa wakiwaomba Chadema wakubali matokeo ya kushindwa lakini ukweli ni kuwa CCM walipaswa kujiandaa na kukubali matokeo jambo ambalo linawakuta sasa wanajaribu kuendelea kukataa kwa kuchelewesha ili Wakachakachue matokeo. DAMU wataanza kuimwaga wao CCM na leo wanadhihirisha hilo kweupeeeeeee
 
Nia ya kuahirisha baadhi ya maeneo ni kupisha mwanya wa kuweza kuyachakachua vizuri kuweni macho. Kama ni kukaza ni kukaza tuu .Mwanzo mwisho hawa jamaa wameprove failure kabisa. https://jamii.app/JFUserGuide you Kiravu ....(Hata mkini-ban I don't care)
:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::doh:
 
tume mbona watakuwa ikulu wakishauriana na jk namna ya kumanuva
Kinachofanyika sasa ni kuchelewesha utoaji matokeo ili wananchi wachoke, waondoke vituoni ili wapate fursa ya kuchakachua matokeo.

Huyu Lewis na Kiwavu wananishangaza sana kwa sababu wanatangaza matokeo ya uraisi katika majimbo anayoongoza kikwete tu ili ku-create atmosphere kuonyesha kama JK anashinda, lakini cha kushangaza matokeo ya Uraisi katika majimbo ambayo CCM wamepoteza, Tume ya uchaguzi haitoi matokeo ya Urais..

Shame on you Kiravu and LEwis
 
Back
Top Bottom