King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Matapeli hao sema wanatumia mbinu janja sana ukiwa boya unalizwa
Yes moja ya mbinu yao ni kukuingiza mkenge kwa bei rahisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli hao sema wanatumia mbinu janja sana ukiwa boya unalizwa
Nilishawahi kuwauliza ni kwanini wanatumia picha za maduka ya Kariakoo na wao wapo Pemba!!!? Niliambulia matusi mazito!Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers.
Lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa kuwaahidi wafanye malipo na kisha watawatumia bidhaa zao, wamekua wanabadilibadili jina la kampuni, walijifanya wapo Darajani, Zanzibar ila kesi zilivokuwa nyingi sasa wamebadili wanadai duka lao lipo Chakechake Pemba, angalizo hakuna duka la electronics hapo kwenye sehemu.
Tafadhali tusaidiane kuwaokoa ndugu zetu wasitapeliwe zaidi. Sambaza kwa wengine wengi. Ahsanteni sana.
🤣 🤣 🤣 matusi ni dalili moja kubwa kwamba hakuna wafanyabiashara hapo, bali matapeliNilishawahi kuwauliza ni kwanini wanatumia picha za maduka ya Kariakoo na wao wapo Pemba!!!? Niliambulia matusi mazito!
Oya hawa walinishawishi nitake kununua computers kwao... computer kali bei poa.kuna wengine wanajiiita rashidi_electronics bei zao zinatia mashaka sana, alafu hawaruhusu comments
Hata hao waliowatapeli wanaolalamika hapa wamefunga comments. Na wale wanaoruhusu comments hawatoi majibu ya maswali wanayoulizwa.kuna wengine wanajiiita rashidi_electronics bei zao zinatia mashaka sana, alafu hawaruhusu comments