Tafadhali Joketi Njoo kwangu, Mimi ndio nakufaa

Tafadhali Joketi Njoo kwangu, Mimi ndio nakufaa

7f62d053b8c489f0e43b78002fb1d714.jpg

Yay!
 
Kwa kweli hawa mastaa wetu sijui huwa wanataka nini, yaani mwanamke ka yule anashindwa kutulia na mwanaume mmoja wa maana kweli!!
Huwa wanachagua halafu mwishowe wanaangukia pua
 
Hawa watoto hawaangalii vyeti blaza........watakuumiza.....hata ungekuwa rocket scientist .....kama hana mzuka na type yako humpati...ushauri ww muibukie kisela unaweza ukamega
Hahahaha Rocket scientist.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji20] umenfuraisha sn mkuu
 
hawa bongo star huwanga wanamalizana wenyewe kwa wenyewe utaona yupo break up badaye sijui kapiga self na halmo nani sijui, utaskia ameenda kucheki NBA marekani sababu alikuwa desperate, hapo yuko hivyo but moyoni kwake ashapata substitute tialee, tusubiri apost tu
 
phd yako ya kutegemea mshahara wa maguful..

una hela wewe za kumpeleka nba akaangilie mechi akijisikia
 
Nimekuwa naumizwa sana na hali ya mrembo Joketi kukosa mwanaume wa maana. Ambaye wataweza kujenga naye future na sio kuchezewa kama hawa wakina Ali Kiba ambao hawana future...... Kwa ujumbe huu, tafadhali Joketi njoo kwangu. Wewe ni mrembo sana tena sana. Njoo kwangu...

Kwa sasa Mimi ni mwanafunzi wa Phd (Mlimani). Nimepanga nyumba Bahari Beach.... Nafanya biashara zangu katika mikoa kadhaa ila Makao Makuu yangu yapo Dar... Nina umri wa miaka 29...

Naamini kwa sifa hizo na kwa jinsi ninavyokupenda we can make good couple. Na nazidi kuamini hizo ni sifa za ziada. Tafadhali njoo kwangu achana na hawa vijana wasio na malengo ya years to come!
Hivi jokate ni mhaya?
 
Jokate chupi yake hata na upepo inadondoka wala haihitaji PHD brother wewe utakua ni domo zege unatumia nguvu nyingi kwenye mlenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuwa naumizwa sana na hali ya mrembo Joketi kukosa mwanaume wa maana. Ambaye wataweza kujenga naye future na sio kuchezewa kama hawa wakina Ali Kiba ambao hawana future...... Kwa ujumbe huu, tafadhali Joketi njoo kwangu. Wewe ni mrembo sana tena sana. Njoo kwangu...

Kwa sasa Mimi ni mwanafunzi wa Phd (Mlimani). Nimepanga nyumba Bahari Beach.... Nafanya biashara zangu katika mikoa kadhaa ila Makao Makuu yangu yapo Dar... Nina umri wa miaka 29...

Naamini kwa sifa hizo na kwa jinsi ninavyokupenda we can make good couple. Na nazidi kuamini hizo ni sifa za ziada. Tafadhali njoo kwangu achana na hawa vijana wasio na malengo ya years to come!
Mkuu huwezi kumpata kirahisi hivi
fanya hivi we zunguka mjini uulizie anapoishi mpaka upajue afu ukipajua tu kaa nje getini kwake akirudi lazima atakuuliza unashida gani afu we mwambie hv MIMI NI BASHITE BASHITE HABARI YA MJINI na umuonyeshe vyeti vyako vya PHD mtafika mbali sana
 
Back
Top Bottom