Tafadhali kama Serikali imeshindwa Kuwadhibiti Wanawake wanaokata Mauno Madirishani katika DalaDala niruhusiwe Kuwadhibiti na hawatorudia tena

Tafadhali kama Serikali imeshindwa Kuwadhibiti Wanawake wanaokata Mauno Madirishani katika DalaDala niruhusiwe Kuwadhibiti na hawatorudia tena

Leo nilikuwa Nimechomekea ila kwa Ukatili niliofanyiwa kutokea Dirishani kwa Mauno ya uhakika huku Kalio likizungushwa kwa Madaha utadhani Feni mpya ya Darini ya Philips nilijikuta nalazimika Mwenyewe Kuchomolea kwani tayari Gear Box yangu fupi kama Nyoka Kifutu ilishaanza kutokunipa Ushirikiano wake wa Kutulia na kukaa vizuri katika njia yake ya Kiasili ya Kiufundi.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🙌🙌🙌🙌
Kwahyo unataka waadhibiwe kwa sababu wamekuadhibu 😅😅😅
 
Unaweza kuwa na tatizo la kisaikolojia,kutazama tu mwanamke ayekata kiuno kwenye basi unadindisha,hauko normal wahi umuone daktari akuondolee tatizo hilo.
 
Back
Top Bottom