Mbogo_beichee
JF-Expert Member
- Mar 31, 2021
- 224
- 608
Habarini wana jamvi wote. Natumai wote tupo poa, tunajenga taifa. Naomba niende kwenye maada moja kwa moja.
Mimi ni mkulima wa mazao ya muda mrefu na mfupi. Sasa mwaka jana nilifanikiwa kulima zao la papai.
Kuanzia kufulia miche mpaka kupanda shambani nilifanikiwa kwa asimilia nyingi tuu. Sasa likaja tatizo wakati wa mvuno wa kwanza mapapai yalikuwa yakikomaa kuelekea kuiva yanatengeneza Vibarango vidogo vidogo kadili papai linavokuwa linakua, na mpaka papai likikomaa kabisa basi hivo vibarango vinakua vingi na kuwa vikubwa zaidi,
Pamoja na hilo shepu ya papai inabadilika kabisa inakua haieleweki. Tafadhali kwa mtu yeyote ambayo ameshakutana na tatizo kama hili, anipe ushauri wa jinsi alivotatua.
Papai zimepandwa mbegu aina ya Sinta F1, shamba lipo sehem ambayo ina baridi japo sio sana ila na joto sio kubwa sana.
Mimi ni mkulima wa mazao ya muda mrefu na mfupi. Sasa mwaka jana nilifanikiwa kulima zao la papai.
Kuanzia kufulia miche mpaka kupanda shambani nilifanikiwa kwa asimilia nyingi tuu. Sasa likaja tatizo wakati wa mvuno wa kwanza mapapai yalikuwa yakikomaa kuelekea kuiva yanatengeneza Vibarango vidogo vidogo kadili papai linavokuwa linakua, na mpaka papai likikomaa kabisa basi hivo vibarango vinakua vingi na kuwa vikubwa zaidi,
Pamoja na hilo shepu ya papai inabadilika kabisa inakua haieleweki. Tafadhali kwa mtu yeyote ambayo ameshakutana na tatizo kama hili, anipe ushauri wa jinsi alivotatua.
Papai zimepandwa mbegu aina ya Sinta F1, shamba lipo sehem ambayo ina baridi japo sio sana ila na joto sio kubwa sana.