MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Pole Sana, naona upost Facebook ndo Kuna Mama ntilie wengi ujumbe wako utawafikia vzr.Ninaandika nikiwa na hasira mno kama zile za Mdude kwa CCM ya Magu. Kwa muda mrefu sana nimeshindwa kuelewa ni kwanini wauza vyakula huwa wanatuuzia ugali mlaini karibia kuwa sawa na uji? Yaani unakula ugali tasteless kabisa na unakera zaidi unapoutia mkononi. Kero tupu. Je, ugali mlaini ndo wenye afya? Kwa upande wangu nikila ugali mlaini ni kama sijala kwasababu ndani ya dakika chache nitaanza kusikia njaa.
Tayari nimeshaacha kununua ugali popote na kuelekeza nguvu kwenye vyakula jamii ya ngano na wali. Nikiwa na hamu najipikia mwenyewe mgumu.
Kapost wewe kwa niaba yangu. NimekuruhusuPole Sana, naona upost Facebook ndo Kuna Mama ntilie wengi ujumbe wako utawafikia vzr.
Huku kwetu wanapika mgumu alafu wanaweka hamira, yaani tonge mbili la tatu tumbo limejaa, unauacha ugali ukibeua Mara moja tu njaa kalii inabidi uanze kutafuta mahindi ya kuchoma.Kapost wewe kwa niaba yangu. Nimekuruhusu
Duh kudadeki hili nalo wakalitizame na wapitishe Sheria ni nn hii kunyonyana kama enzi za ukoloni Yani Kati ya ugali na mrenda ,mrenda una afadhali ,ugali sio ugali ugali sio uji dadekiNinaandika nikiwa na hasira mno kama zile za Mdude kwa CCM ya Magu. Kwa muda mrefu sana nimeshindwa kuelewa ni kwanini wauza vyakula huwa wanatuuzia ugali mlaini karibia kuwa sawa na uji? Yaani unakula ugali tasteless kabisa na unakera zaidi unapoutia mkononi. Kero tupu. Je, ugali mlaini ndo wenye afya? Kwa upande wangu nikila ugali mlaini ni kama sijala kwasababu ndani ya dakika chache nitaanza kusikia njaa.
Tayari nimeshaacha kununua ugali popote na kuelekeza nguvu kwenye vyakula jamii ya ngano na wali. Nikiwa na hamu najipikia mwenyewe mgumu.
Ikiwezekana achana na ugali, wali na vya ngano. Si vizuri kwa afya. Elekea vya mizizi, kama boga, viazi vitamin, maghimbi n.k.Ninaandika nikiwa na hasira mno kama zile za Mdude kwa CCM ya Magu. Kwa muda mrefu sana nimeshindwa kuelewa ni kwanini wauza vyakula huwa wanatuuzia ugali mlaini karibia kuwa sawa na uji? Yaani unakula ugali tasteless kabisa na unakera zaidi unapoutia mkononi. Kero tupu. Je, ugali mlaini ndo wenye afya? Kwa upande wangu nikila ugali mlaini ni kama sijala kwasababu ndani ya dakika chache nitaanza kusikia njaa.
Tayari nimeshaacha kununua ugali popote na kuelekeza nguvu kwenye vyakula jamii ya ngano na wali. Nikiwa na hamu najipikia mwenyewe mgumu.
Asante sana ndugu ila NINAKUAHIDI huu ushauri wako kamwe sitaufuata.Ikiwezekana achana na ugali, wali na vya ngano. Si vizuri kwa afya. Elekea vya mizizi, kama boga, viazi vitamin, maghimbi n.k.