strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Kwahiyo na yenyewe yanajilipa sasa au?
Yalimshindaga pia ogopa sana beberu likienda mnara kumbuka sakata la sukarialiekua anawapangia mabeberu leo hii wanamuita "mwendazake" hakika tutamkumbuka.
ila sio kama huyu, ni heri yule aliku na kauli ya msimamo!. akisema kasema! na udikteta ulimboostYalimshindaga pia ogopa sana beberu likienda mnara kumbuka sakata la sukari
Kila kukicha tu 'Maajabu' mengi yanagundulika nchini Tanzania na huenda nchi yetu ikawa imebarikiwa Kimaajabu hadi Raia wake ni wa ajabu.
Tanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo Makampuni ya Simu yanaweza Kupandisha bei za 'Vifurushi' haraka, ila katika Kuvishusha wanachelewa.
TCRA hongereni pia kwa Kuyaogopa (Kuufyata) mbele ya Makampuni ya Simu nchini Tanzania na hasa hasa hawa Wababe wenu Vodacom.
Usipende kuleta habari nusu nusu ili na wewe uonekane umeleta habari humu, huku sio facebook unakoweza kujiandikia uharo wako ukaleta humu qenge wewe.
Hata kwenye mafuta, nauli, na bidhaa nyingine ni mwendo huoTanzania ndiyo nchi pekee duniani ambayo Makampuni ya Simu yanaweza Kupandisha bei za 'Vifurushi' haraka, ila katika Kuvishusha wanachelewa.
Hatutawakamata wanaolingishiana nyuchi mtandaoniHivi hiki chombo (TCRA) kikifutwa tutapata hasara yoyote??