Tafadhali namwombea Ulinzi Yule Mama aliyesema Mchoma Moto Soko la Karume ni 'Joseph na Wenzake' kwani huenda hata Mengineyo aliunguza Yeye

Tafadhali namwombea Ulinzi Yule Mama aliyesema Mchoma Moto Soko la Karume ni 'Joseph na Wenzake' kwani huenda hata Mengineyo aliunguza Yeye

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila nikikumbuka Yule aliyekuwa Kiongozi wa Malori kama si Mabasi ya Mikoani alipotoa Kauli fulani ya 'Kibabe' na Siku Mbili baadae akaugua ghafla na Kufa ndiyo napatwa pia na Hofu juu ya huyu Mama aliyesikika katika Taarifa ya Magic FM na Kipindi chao cha Morning Magic kwa Kujiamini kabisa kuwa anamjua aliyechoma Moto Soko la Karume kuwa ni Joseph ( Jose ) na Wenzake.

Tafadhali huyu Mama alindwe kwani kuna ambayo GENTAMYCINE naanza kuyasikia yakiandaliwa dhidi yake ili asikwamishe Mipango ya Mstaafu kujenga Shopping Malls zake nchini.
 
Kila nikikumbuka Yule aliyekuwa Kiongozi wa Malori kama si Mabasi ya Mikoani alipotoa Kauli fulani ya 'Kibabe' na Siku Mbili baadae akaugua ghafla na Kufa ndiyo napatwa pia na Hofu juu ya huyu Mama aliyesikika katika Taarifa ya Magic FM na Kipindi chao cha Morning Magic kwa Kujiamini kabisa kuwa anamjua aliyechoma Moto Soko la Karume kuwa ni Joseph ( Jose ) na Wenzake.

Tafadhali huyu Mama alindwe kwani kuna ambayo GENTAMYCINE naanza kuyasikia yakiandaliwa dhidi yake ili asikwamishe Mipango ya Mstaafu kujenga Shopping Malls zake nchini.

utasikia kagongwa gari nyumbni kwake
 
Ungetuwekea hako kahabari kwa ufupi ingependeza sana.
Umeandika kama vile wote tumesikiliza hiyo morning magic.

Yote kwa yote wakubwa wanachofanya sio fair kabisa aisee ni uonevu wa hali ya juu mno. Mimi sio mfanyabiashara wa pale ila soko kuungua kimazabe vile imeniuma mno.
 
Hiyo ndiyo habari ya mjini. Ukitilia umhimu mtoto wa mstaafu ndiye Anjelina Mabula wa wakati huo
Huyu jamaa ana damu ya kunguni...., yaani mabaya yote, ufisadi wote na kila deal ya ajabu ajabu ni yeye anafanya..., ingawa simtetei lakini common sense inaniambia kuna sehemu anabebeshwa mizigo sio yake...

Anyway ningekuwa yeye ningemshauri its too soon kupata wadhifa kama huu, hususan kwenye sekta ngumu kama hii unless otherwise kweli ni mpigaji ila upigaji huu hauwezi kuwa sustainable zaidi ya kuendelea kumletea chuki
 
Kwa hiyo Jose ndio kachoma soko sio 😁
 
Huyu jamaa ana damu ya kunguni...., yaani mabaya yote, ufisadi wote na kila deal ya ajabu ajabu ni yeye anafanya..., ingawa simtetei lakini common sense inaniambia kuna sehemu anabebeshwa mizigo sio yake...

Anyway ningekuwa yeye ningemshauri its too soon kupata wadhifa kama huu, hususan kwenye sekta ngumu kama hii unless otherwise kweli ni mpigaji ila upigaji huu hauwezi kuwa sustainable zaidi ya kuendelea kumletea chuki
Safari hii watu watapiga kazi tu na itaonekana hawataangalia maneno ya mtandaoni tena
 
Safari hii watu watapiga kazi tu na itaonekana hawataangalia maneno ya mtandaoni tena
Wataanza lini kupiga hizo kazi ?, Sababu kama ni marathon imeanza saa moja asubuhi wewe mpaka saa tatu umelala na inaisha saa tano basi utahitaji kufanya kazi ya ziada ili kuweza kumaliza kwa wakati...,

All in all Public Sentiment mtaani is not favorable....
 
Back
Top Bottom