HAbari wana jf Naomba kujuzwa juu hl jambo,nimetokea kuipenda fani ya uuguzi(nursing)na kutamni kuisomea fani hyo lakin tatzo langu ni kwamba sijajua kama ntaweza kupokelewa katika vyuo vinavyotoa fani hyo ukilngansha na matokeo yangu ya kidato cha 4,
Nlichukua mchepuo wa sanaa na kupata alama D 4, englsh,geography, kishwahl, civis lakn kwenye math na bios nlipata F.nimemalza form 4 mwaka 2011.
HIVYO NAOMBA KUJUZWA JE NTAWEZA KUPATA NAFASI YA KUSMEA HYO FANI YA NURSIN?NI VYUO GAN AMBVYO VYAWEZA KUNIPOKEA?NA GHARAMA ZA MAFUNZO KWA NGAZI YA CHETI YAWEZA KUGHARIMU KIASI GANI? =natanguliza shukrani
Nlichukua mchepuo wa sanaa na kupata alama D 4, englsh,geography, kishwahl, civis lakn kwenye math na bios nlipata F.nimemalza form 4 mwaka 2011.
HIVYO NAOMBA KUJUZWA JE NTAWEZA KUPATA NAFASI YA KUSMEA HYO FANI YA NURSIN?NI VYUO GAN AMBVYO VYAWEZA KUNIPOKEA?NA GHARAMA ZA MAFUNZO KWA NGAZI YA CHETI YAWEZA KUGHARIMU KIASI GANI? =natanguliza shukrani