Tafadhali naomba msaada

Tafadhali naomba msaada

jamzai

Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
67
Reaction score
55
Nimepata chuo mount meru university kwa ajili ya kusoma dip in education kitu kinachonichanganya ni kuwa vyuo vinavyotoa hii dip huratibiwa na NECTA na mitihan yao hutolewa na necta iweje mount meru wao watoe hii dip kwa mtindo tofaut yaan wanachuo wao hawafany mtihan wa necta nisaidien jaman. Naogopa kuja kuambiwa haitambulik.
 
Jam vp una uhakika kuwa chuo kimesajiliwa na nacte usije ukawa kama mlevi aliyeamka na hang over!! Postulate festi!!!!
 
Jam vp una uhakika kuwa chuo kimesajiliwa na nacte usije ukawa kama mlevi aliyeamka na hang over!! Postulate festi!!!!
Chuo kimesajilwa mkuu kipo kwenye orodha ya tcu nilkuwa na mashaka na dip ya educ wanayotoa wao maana hiz nying zipo under necta wao wanatoa kupitia nacte.
 
Back
Top Bottom