Msela Ngoto
Member
- Jun 10, 2018
- 29
- 28
Habari za jioni wanajamvi,
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu, wadau nataka kufuga Kasuku lakini sijui naanzia wapi.
Tafadhali naomba mwongozo wenu kwa mtu anayejua chochote kuhusu kasuku, kuanzia upatikanaji wake, chakula chake, makuzi yake pamoja na changamoto nyengine.
Natanguliza shukrani za dhati toka kwenye uvungu wa mtima wangu.
Naomba kuwasilisha.
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu, wadau nataka kufuga Kasuku lakini sijui naanzia wapi.
Tafadhali naomba mwongozo wenu kwa mtu anayejua chochote kuhusu kasuku, kuanzia upatikanaji wake, chakula chake, makuzi yake pamoja na changamoto nyengine.
Natanguliza shukrani za dhati toka kwenye uvungu wa mtima wangu.
Naomba kuwasilisha.