Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewahi kuwa na wawili mkuu !
siku wtu wakawatonya maliasili waje kunidaka ,tatizo wakiwa mlangoni na geti limefungwa rafiki akanitonya ,nikabidi niwaachilie ,niinbox nkupe namba wako kigoma hata ukitaka kumi
Kwakweli umekuwa mdau muhimu sana juu ya jambo langu hili.
turudi kwenye point yako sasa, nadhani sio mabaya tukiwa na matokeo mfukoni coz inaonekana kidogo pana "usumbufu" kupata kibali cha ndege hao.
sasa we fanya hizo connections zako kisha unipe mrejesho tafadhali, nipo "serious" na hili jambo.
usinichoke mdau, natanguliza shukrani kwa ushirikiano wako.