Tafadhali naomba mwongozo wa namna ya kufuga Kasuku

Nipo zanzibar..kasuku wadogo wanauzwa...hivi hili swala la kibari ni muhimu? Na wapo kwe maliasiri kama peacock?
 
Nimewahi kuwa na wawili mkuu !
siku wtu wakawatonya maliasili waje kunidaka ,tatizo wakiwa mlangoni na geti limefungwa rafiki akanitonya ,nikabidi niwaachilie ,niinbox nkupe namba wako kigoma hata ukitaka kumi

Habari mkuu
 

Habari mkuu ulifanikasha hili swala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…