mtweve
Member
- Mar 28, 2009
- 96
- 8
Awali ya yote niwashukuru sana walioamua kuanzusha chommbo kama hiki! mimi ni mwanafunzi wa mwaka pili UDSM.Ndoto zangu siku zotte za maisha yangu ni kuwa mwigzaji au mtangaji wa redio au TV.
Kutokana na sababu mbalimbali peke yangu imekuwa ngumukutimiza ndoto zangu OMBI naomba sasa kama kuna yeyote kwa namna moja au nyingine anaweza kunisaidia mfano kuniunganisha na waigizaji au kituo redio nitafurahi sana.
Namba zangu 0714731006 na 0753380229 au mtwevebs@yahoo.com
Kutokana na sababu mbalimbali peke yangu imekuwa ngumukutimiza ndoto zangu OMBI naomba sasa kama kuna yeyote kwa namna moja au nyingine anaweza kunisaidia mfano kuniunganisha na waigizaji au kituo redio nitafurahi sana.
Namba zangu 0714731006 na 0753380229 au mtwevebs@yahoo.com